House4Rent Picha:Jionee Mwenyewe Nyumba Hii Ilivyo

House4Rent Picha:Jionee Mwenyewe Nyumba Hii Ilivyo

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,079
Reaction score
2,152
Ina vyumba vitatu, kimoja Ni master+choo cha public+Sebule+Dining Room+jiko+
+maji +fensi na Parking ya gari ndogo 5+luku inajitegemea

Ipo Kigamboni km 1 toka kwenye pantoni

Bei: Tsh. Laki 3.5 kwa mwezi (malipo miezi 6)

Dalali yangu ni mwezi mmoja

Mob:+255 718 295 182
--------------------------------
Bango

9ee019e21807bb5d0dc89d2535e8ae75.jpg
a8f47a685536bf08a4ba3e7a5eb06774.jpg
 
Ina vyumba vitatu, kimoja Ni master+choo cha public+Sebule+Dining Room+jiko+
+maji +fensi na Parking ya gari ndogo 5+luku inajitegemea

Ipo Kigamboni

Bei: Tsh. Laki 3.5 kwa mwezi (malipo ni mwaka)

Dalali yangu ni mwezi mmoja

Mob:+255 718 295 182
--------------------------------
Bango

9ee019e21807bb5d0dc89d2535e8ae75.jpg

a8f47a685536bf08a4ba3e7a5eb06774.jpg
a1a42ba460de1ba8b17d016775a33ab8.jpg
e34aacbb894c6b35544fa346b3828dfa.jpg
Nyumba ya laki 3.5 sijaiona, kajipange tena
 
Hawa jamaa mm nawapiga vita sana ndio wanasabababisha kodi za nyumba kuwa juu.Hapo usikute mwenye nyumba anataka laki 2.5 yeye anaongeza laki juu theni anataka tena kodi ya mwezi.
 
Madalali jipangeni sheria inakuja,mambo ya kuchukua kodi ya mwezi mmoja kama nyumba ulichangia kujenga,kwa kazi ya kuuza maneno tu yatakwisha
Tutaendelea kufata sheria mkuu, hakuna tatizo

Bango
 
Hawa jamaa mm nawapiga vita sana ndio wanasabababisha kodi za nyumba kuwa juu.Hapo usikute mwenye nyumba anataka laki 2.5 yeye anaongeza laki juu theni anataka tena kodi ya mwezi.
Wenye nyumba ndio wenye maamuzi ya mwisho ya bei anayotaka kupangisha nyumba yake, kama umekutana na tatizo hilo pole sana mkuu, ulikutana na tapeli!

Bango
 
Back
Top Bottom