Hizo ni siasa za Kenya,unamaanisha km babako na wazir mkuu wewe uwezi kuwa Raisi sio utaishia tuu hapo hapo alikoishia Babako km Mjaluo. .. Odinga. ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali Kenya kwa mbali tz wanaotawala tangu jadi ni ule ule Ukoo wa mambumbumbu ndo maana mpo mpo tu!The country is ruled by a few friends and Kenyans are proud of it... haha, proudly Tanzanian
Arap Moi kabila ghaniKibaki hayupo kwenye picha hiyo! Huyo hapo si kibaki ni Charles Njonjo, aliyekuwa A.G wa zamani na si wa ukoo moja na Kenyatta! Moi hapo alikuwa kaimu rais na hana ukoo wowote na Kenyatta. Ako hapo kikazi. Hapo mi naona tu Mzee anayejaribu kumfunza mtoto wake wa kiume kuwa mwanaume hasa ni nini! Hilo ni jukumu la kila mwanaume kwa mtoto wake wa kiume! Tafta hoja nyingine!
Moi ni mnandi moja ya kabila ndogo la kikalenjin.
La hasha wewe umekosea .Huyo Arap Moi (fyi he makes me puke for his stinky 24yrs) yeye ni wa jamii ya Tugen.Moi ni mnandi moja ya kabila ndogo la kikalenjin.
Shukran mkuu.La hasha wewe umekosea .Huyo Arap Moi (fyi he makes me puke for his stinky 24yrs) yeye ni wa jamii ya Tugen.
Ni mkalenjini,
Moi si mnandi, ni mtugenMoi ni mnandi moja ya kabila ndogo la kikalenjin.
Akili kichwaniMasikini Raila alimwambia Uhuru "go home" akasahau kuwa Uhuru alizaliwa Ikulu!!!
Afadhali Kenya kwa mbali tz wanaotawala tangu jadi ni ule ule Ukoo wa mambumbumbu ndo maana mpo mpo tu!
FactNimejifunza mambo mawili:
1. Watch your cycle
2. Future ya mtoto ni mzazi kwa kiwango kikubwa