wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Tunaomba na picha ya Ndungai hata akiwa amesimama tu na Nyerere achilia mbali kupewa medali yoyote Ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha yake na Nyerere kutokuwepo ndo isimpe mamlaka ya kumkemea mtu?na kuisimamia sheria?Tunaomba na picha ya Ndungai hata akiwa amesimama tu na Nyerere achilia mbali kupewa medali yoyote Ile.
Ipo moja wakati Ndugai akiaga mwili wa Nyerere Uwanja wa TaifaTunaomba na picha ya Ndungai hata akiwa amesimama tu na Nyerere achilia mbali kupewa medali yoyote Ile.
hao smart mbona hawafanyi kama polepole?Hayati Mwalimu alikuwa anawaandaa watu Smart,leo hii ati akina Polepole wanajitutumua kwenye tv huwa nawachekii.
Kwahiyo kununua Wapinzani kwa fedha zetu za Kodi ndio umeona dili?hao smart mbona hawafanyi kama polepole?
Hebu ongeza sauti tafadhali.Mchango wa Ulimwengu kwa vijana, Tasnia ya habari, demokrasia, uchambuzi wa masuala ya kitaifa ni mkubwa sana
Kiufupi Ndugai hana impact yoyote kubwa katika nchi hii kulinganisha na Jenerali Ulimwengu
Wakati Ulimwengu akiwa kwenye trenches na akina Samora Machel, Ndugai alikuwa shule ya msingi anaenda shule bila viatu, sasa atamtisha nini Jenerali?
Bora kuwa na mgeni mzalendo kuliko kuw na raia zuzu kama spika mbovuYeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
Ngoja kimbunga Jobo aje akupinge maana akiona post kama hizi kichaa Cha mbwa Koko kinampanda kichwani anamaind hatari,
Mpumzisheni wadudu wasije panda kichwani afe Bure!
[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwani mi ndiyo Ayubu?Tunataka ule uvimbe kichwani upasuke kabisa
Wakudadavuwa atabisha na kununa!
🤣🤣Wakudadavuwa atabisha na kununa!
Kwa hiyo Kibu Dennis si Mtanzania ?!!! 😳😳😳😳Yeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
umehamisha goli!!!Kwahiyo kununua Wapinzani kwa fedha zetu za Kodi ndio umeona dili?
TAHADHARI: wabunge wenye viherehere wasipite jirani na Jobo msimu huu wa joto!!Ngoja kimbunga Jobo aje akupinge maana akiona post kama hizi kichaa Cha mbwa Koko kinampanda kichwani anamaind hatari,
Mpumzisheni wadudu wasije panda kichwani afe Bure!
😁😁😁
Utanzania na uzalendo wa maccm unaambatana na ujinga, umaskini, unyonge na maradhi. Kinyume na hivyo kwao hujawa mzalendo!!!Kwahiyo kuwa Mtanzania ni lazima uwe Mjinga?
Au Jenerali angekuwa Mjinga automatically angekuwa Mtanzania?
Dah kumbe watu wakongwe sana kwenye SIASAHii ilikuwa mwaka 1988 baada ya kutambua Mchango wake katika kuwatumikia vijana .
View attachment 2009075
True!Utanzania na uzalendo wa maccm unaambatana na ujinga, umaskini, unyonge na maradhi. Kinyume na hivyo kwao hujawa mzalendo!!!