Picha: Julius Nyerere akimvisha Medali Jenerali Ulimwengu

Picha: Julius Nyerere akimvisha Medali Jenerali Ulimwengu

aione ayubu kwenye file pale kongwa

download.jpeg.jpg
 
Mchango wa Ulimwengu kwa vijana, Tasnia ya habari, demokrasia, uchambuzi wa masuala ya kitaifa ni mkubwa sana

Kiufupi Ndugai hana impact yoyote kubwa katika nchi hii kulinganisha na Jenerali Ulimwengu

Wakati Ulimwengu akiwa kwenye trenches na akina Samora Machel, Ndugai alikuwa shule ya msingi anaenda shule bila viatu, sasa atamtisha nini Jenerali?
Hebu ongeza sauti tafadhali.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Yeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
Bora kuwa na mgeni mzalendo kuliko kuw na raia zuzu kama spika mbovu
 
"Atake asitake" legacy nukuu za aibu kwa taifa letu tuliwahi kuwa na mfumo duni watu wa ajabu kupenya nafasi za juu uongozi.
 
Yeah, hakujua! Tanzania tuna tabia ya kuwaamini watu tukidhani ni wema kama sisi. Huyu siyo Mtanzania jameni anzieni kwenye jina lake. Hata Njelu Kasaka hakujua G55 alidhani ni mwenzao kumbe vurugaji.
Kwa hiyo Kibu Dennis si Mtanzania ?!!! 😳😳😳😳
 
Back
Top Bottom