Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Warumi amebadilika kutoka mbea hadi kuwa character assassin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naam ndo mimi uyoooHa ha ha ha ,,,,,wanamuita juma mpemba
Na huu mwaka ukiisha usiponivulia sitokuamini kamweWe unikome, Nina papa au nikuvulie uone, Kuwa na adabu na mama zako wa kambo, mxieew
Achana na uzi ila Avata yako imenifanya nipulize simu yangu mara kadhaa 😀Kwani humu JamiiForums kuna ajenda gani juu ya ushoga naona kila mtu maarufu anapakaziwa kuwa shoga.
ww warumi ukiwa mwanaume basi utakuwa ndo huyu anaeongea na jux, maana c kwa umbea huo[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Kaka alikuaga mpole mwenyewe sijui shetani gani kampitia, Na si alikua anajiita Sukari ya warembo huyu, ndio maana siku hizi kila wakati wanagombana na V kwa sababu zisizokua na msingi kumbe mwenyewe jux yuko busy na boys Hana habari.
Mi Ndo maana wanaume Ma handsome siwataki kabisa, bora niwe na mwanaume mwenye sura kama harmonize lakini najua pesa zipo Ila sio hawa wanajifanya watanashati Mara sukari ya warembo kumbe mambo yao wanajua wenyewe.
Jux mwenyewe yuko busy anaongea kwenye video call na mwaume mwenzie, meno yote nje mxieew , halafu Vanessa akimpgia simu siku nzima hapokei kumbe mwenzie yuko busy na vitoto vya watu.
Hapa Ndo naona kwa nini akina k-lyn wanakimbilia kuolewa na waxed na sio hawa masharobaro ambao wangekua wanaibiana mabwana.
Ila Yule slay queen mashauzi kanichekesha, anachepuka na ng'ast kumbe ng'ast mwenyewe na yeye anatoka na sponsor wa slay queen , khaa hili jiji Lina joto bora mvua zianze
View attachment 1093994View attachment 1093995
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijaelewa, kumbe waweza kumsindikia mkeo saluni maongezi yakaendelea na ukatoka kapa.
Duh...Juma lokole....nani mwingine vile?Ukishaita mwanao jina la Juma jiandae kwa lolote manake hutajua siku wala saa
Heshima kitu cha bureUkishaita mwanao jina la Juma jiandae kwa lolote manake hutajua siku wala saa
Na Ray, wengi hukumbwa na msala huu.Ukishaita mwanao jina la Juma jiandae kwa lolote manake hutajua siku wala saa
Ndugu umesema ukweli mtupuMara nyingi fikra za watu kama hawa huishia kwenye kuwaza zile sifa anazopata mitandaoni. hajali athari anayopata muhusika. Na ukichunguza zaidi utakuta ma cyber bully wengi ni matokeo ya watoto ambao walikuwa bullied sana katika makuzi yao, waliokuwa katika mazingira duni mno ama wale ambao walitengwa sana utotoni na watoto wenzao. Hii attention anayopata mitandaoni inampa ile sense of importance ambayo aliitamani toka akiwa mdogo.
Msaljmie meneja matunga pesaKwetu pazuriView attachment 1094017
KkkkkkkHuyo ni shoga ndiyomaana akisikia mtu kasafiri tu kwenda nje ya nchi anamuita shoga.
Umekosea sijawah Kuwa bullied shoga angu , mie umbea nimeanza kuwa nao Toka utotoni ndio maana