Picha: K-lynn aanza kuonyesha jeuri ya fedha

Picha: K-lynn aanza kuonyesha jeuri ya fedha

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mke halali wa mfanyabiashara maarufu nchini, Reginald mengi, jackline ntuyabaliwe aka k -lyn ,ameanza kuonyesha baadhi ya mali anazomiliki, ikiwemo duka la nguo la kifahari (pichani ) lililopo nchini Dubai.

Hivi karibuni watu wanaosemekana kuwa ni maadui wa mwanamama huyo mwenye title ya u bosslady kwa sasa, walimponda msanii huyo kuwa hana lolote apa mjini zaidi ya kumtegemea mumewe ambaye ndiye anayemuweka mjini kwa sasa star huyo.

Inasemekana pia msanii huyo anamiliki mali nyingi na za kutisha ukilinganisha na umri wake mdogo, na amekuwa akifanya siri kuogopa maadui zake kumuandana.

Hata hivyo baadhi ya wadau wamemtaka staa huyo kutoendelea kuonyesha mali anazomiliki kwani kufanya hivyo ni kujiongezea maadui wasiopenda mafanikio yake.
 

Attachments

  • 1429083526838.jpg
    1429083526838.jpg
    64.7 KB · Views: 4,924
Wamuache bibie ajilie maisha yake, kwani kumsema kutegemea mali ya mumewe tatizo, walitaka mzee amkamue bure bila kumgharamia?
Jacky kula maisha mamaa ukipata zitumie.
 
Hiyo ni brand kubwa sana middle East kwa miaka mingi sana,ni familia ya ki Lebanon ndio wamiliki wa hiyo brand,haina uhusiano wowote na huyu Mbongo mwenzetu,kwa kuongezea ndani ya Dubai Mall ili uweke duka lako ni kazi kweli si kila designer anawezakupata nafasi hiyo maana hawaangalii pesa yako wanaangalia jina la brand yako...aksante.
 
Hiyo ni brand kubwa sana middle East kwa miaka mingi sana,ni familia ya ki Lebanon ndio wamiliki wa hiyo brand,haina uhusiano wowote na huyu Mbongo mwenzetu,kwa kuongezea ndani ya Dubai Mall ili uweke duka lako ni kazi kweli si kila designer anawezakupata nafasi hiyo maana hawaangalii pesa yako wanaangalia jina la brand yako...aksante.

Ahsante kwa taarifa mkuu, loh tunadanganywaje sasa mapoyoyo, watu wanamsifia uko nakwambia sifa kibao kumbe sio lake mmh, sasa izi sio sifa
 
Hiyo ni brand kubwa sana middle East kwa miaka mingi sana,ni familia ya ki Lebanon ndio wamiliki wa hiyo brand,haina uhusiano wowote na huyu Mbongo mwenzetu,kwa kuongezea ndani ya Dubai Mall ili uweke duka lako ni kazi kweli si kila designer anawezakupata nafasi hiyo maana hawaangalii pesa yako wanaangalia jina la brand yako...aksante.

Ahsante!
 
Ebu nitoe tongo tongo mie? Kumbe sio lake? Maana ndio umbea unaonea mujini duka la k lyn dubai kha, nibngekua na mfadhili ningeenda dubai kwa kweli kukamilisha umbea

Hahahaaa, warumi umeniacha hoi sana.Na hiyo habari yako ulivyoileta kwa mbwembwe sasa?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa, warumi umeniacha hoi sana.Na hiyo habari yako ulivyoileta kwa mbwembwe sasa?

Yani binamu naona roho ilivyokutoka umeshukuru mungu sio duka lake, ila bado bibie ana asset za kueleweka mujini apa sio level za akina mwafulani
 
Last edited by a moderator:
Dunia ya hii ya leo huwezi kudanganya kirahisi hivyo, Google imeleta balaaa!!!
 
Yani binamu naona roho ilivyokutoka umeshukuru mungu sio duka lake, ila bado bibie ana asset za kueleweka mujini apa sio level za akina mwafulani

Hahahaaa! Nikuambie kitu warumi? Nampenda sana K-Lyn.Na huyu ndiye miss Tanzania mzuri kuliko wote kwangu mimi.
Napenda kuona akifanikiwa ndio maana nikawa napiga kelele ile siku na wewe ulivyokua unamsifia badala ya kumchallenge mrembo wetu.
 
Last edited by a moderator:
Khaaa ulivyoshukuru, kama nakuona presha ilivyokupanda loh binamu wivu utakuua mwaka huu, hahahahaj

Hahahaaa! Hii picha nimewahi kuiona sehemu ila nilikua sina uhakika sasa huyo sheikh hapo juu kaelezea vizuri hadi nimefurahi.
 
Unamsingizia hilo duka hila uhusiano na yeye kabisa hilo ni jina tuu..hiyo picha ilisha sambaa ni wiki tatu sasa pengine umechelewa kuipata na uki google utakuta detail la hilo duka ni la kitambo kidogo!
kuna kipengele kwenye cyber crime bill kina wabana wanao sambaza habari za uongo kuhusu wengine..kwa kuwa muswada haujasainiwa nakupa hongera..
Lakini ungekuwa umesainiwa ungeenda mwaka mmoja jela.
 
Unamsingizia hilo duka hila uhusiano na yeye kabisa hilo ni jina tuu..hiyo picha ilisha sambaa ni wiki tatu sasa pengine umechelewa kuipata na uki google utakuta detail la hilo duka ni la kitambo kidogo!
kuna kipengele kwenye cyber crime bill kina wabana wanao sambaza habari za uongo kuhusu wengine..kwa kuwa muswada haujasainiwa nakupa hongera..
Lakini ungekuwa umesainiwa ungeenda mwaka mmoja jela.

AHahahh hahha kha yamenikuta, mwaka huu nisipoenda jela sijui maana sio kwa umbea huu kwa kweli, mpaka nimwjiogopa
 
Ebu nitoe tongo tongo mie? Kumbe sio lake? Maana ndio umbea unaonea mujini duka la k lyn dubai kha, nibngekua na mfadhili ningeenda dubai kwa kweli kukamilisha umbea

Sio lake wala halimuhusu,ni sawa na mie kuipenda nyimbo ya nimpende nani...
 
Back
Top Bottom