Picha: Kaburi la Ruge laanza kuchimbwa huko kijijini kwao Bukoba

Kwa hiyo watu wa kijijini ulipozaliwa au wazazi wako ni wakupelekewa misiba tuu kuzika?
Kwani wazazi wake wake wap.na je alizaliwa wap? Kumbuka wazazi wake wapo huko mikocheni dar,na yeye amezaliwa marekani na kukulia dar fuatilia wasifu wake.huko kuzikwa bukoba ni utamaduni Tu WA wahaya kuzikwa kwenye makaburi ya ukoo au chimbuko la ukoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndege toka south africa ingepeleka mwili wa marehemu bukoba moja kwa moja au mwanza airport kuna tatizo gani?kisha kuagwa na kuzikwa.
Kwa nini uletwe dar kisha tena safari ianze kwenda bukoba?
Dar ndo kila kitu kwanzaaaaa!na ndo Tanzania huko kwenu mkoani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndege toka south africa ingepeleka mwili wa marehemu bukoba moja kwa moja au mwanza airport kuna tatizo gani?kisha kuagwa na kuzikwa.
Kwa nini uletwe dar kisha tena safari ianze kwenda bukoba?
Maiti za kikiristo zina kazi sana mnoo angekuwa muislam angezikwa hukoo huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamenifurahisha sana wazazi wa Ruge. Sio kama mama Kanumba. Badala ya mtoto wake kwenda kumzika Shinyanga kwao na ndipo alipo baba yake, au nyumbani kwao huyo mama Bukoba, akazidiwa ujanja na akina Stive Nyerere, na kuamua kumzika Daaaaar!
 
Wamenifurahisha sana wazazi wa Ruge. Sio kama mama Kanumba. Badala ya mtoto wake kwenda kumzika Shinyanga kwao na ndipo alipo baba yake, au nyumbani kwao huyo mama Bukoba, akazidiwa ujanja na akina Stive Nyerere, na kuamua kumzika Daaaaar!
Tamaduni za wahaya wanazika nyumbani kwenye shamba la familia, kwa hyo wazazi wa Ruge wamefuata tamaduni zilivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…