ukiambiwa mimi ni ofisa wa ubalozi utalia au utanuna ?Erythrocyte unaishiwa sasa! We utakuwa ndo mbowe mwenyewe, si kawaida hii. Kilichokupendeza wewe nini hapo?!!! Au hayo makengeza kujificha kidogo?!!!!
Kwi Kwi KwiIpambe na sebuleni kwako ikuretee ugali .......fisi mwenye kalio wewe
Sitalia wala kununa maana h8yo itakuwa inamaanisha wivu, mi nitakusifu tu kwa kutoboa na maisha haya!ukiambiwa mimi ni ofisa wa ubalozi utalia au utanuna ?
Unaandika haya ukitumia jina la bandia.Inasaidia vipi kupunguza matatizo tuliyonayo?mnaambiwa mkinukishe mnashindwa endeleeni kusubiri sanduku la kura liitoe ccm ili mambo walau yabadilike yasiende Kama kawaida.pigeni hata bomu moja Basi pale naniliu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa, Ila tukumbuke tu kuwa hakuna Watu Wanafiki na Wafitinishaji wakubwa Ulimwenguni kama Wamarekani.Hii picha kali imepigwa ndani ya ofisi za Ubalozi wa Marekani .
Kiukweli wengi wametembelea ubalozi huu lakini Picha hii ndio bomba zaidi .
View attachment 2184257
Hili ni pozi la kidiplomasia.Fikra za kitumwa ndizo zinasababisha TANZANIA kutoendelea!Mwenyekiti kafundishwa pozi la kuweka?😆😆
Inasaidia vipi kupunguza matatizo tuliyonayo?mnaambiwa mkinukishe mnashindwa endeleeni kusubiri sanduku la kura liitoe ccm ili mambo walau yabadilike yasiende Kama kawaida.pigeni hata bomu moja Basi pale naniliu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Pole pole neno gaidi umeona halilipi hatimaye uachane nalo kimya kimya?
Au kwenye Avatar ya JfWeka wallpaper kwenye simu yako
Punguza jazba!Ipambe na sebuleni kwako ikuretee ugali .......fisi mwenye kalio wewe
Masikini wanawaza kula tu !Ipambe na sebuleni kwako ikuretee ugali .......fisi mwenye kalio wewe
ItapendezaAu kwenye Avatar ya Jf
Binadamu hawa.
Watu wana dhambi sana eti Mbowe gaidi yaani gaidi gani ambaye US hawana mpango naeHii picha kali imepigwa ndani ya ofisi za Ubalozi wa Marekani .
Kiukweli wengi wametembelea ubalozi huu lakini Picha hii ndio bomba zaidi .
View attachment 2184257
Sijui unacho maanisha maana namuona huyo nyoka makengeza na huyo chakula barafu
Ile ni kali sana.Nadhani kali ni ile Mbowe anasalimiana na wamama wa ccm