Picha kali ya Mwezi wa 4 hii hapa

Picha kali ya Mwezi wa 4 hii hapa

Erythrocyte unaishiwa sasa! We utakuwa ndo mbowe mwenyewe, si kawaida hii. Kilichokupendeza wewe nini hapo?!!! Au hayo makengeza kujificha kidogo?!!!!
ukiambiwa mimi ni ofisa wa ubalozi utalia au utanuna ?
 
Ipambe na sebuleni kwako ikuretee ugali .......fisi mwenye kalio wewe
Kwi Kwi Kwi

hii je ?
Mapema_leo_Jumatatu_Aprili_11%2C_2022_nimekutana_na_kufanya_Mazungumzo_na_Balozi_Donald_J._Wri...jpg
 
Inasaidia vipi kupunguza matatizo tuliyonayo?mnaambiwa mkinukishe mnashindwa endeleeni kusubiri sanduku la kura liitoe ccm ili mambo walau yabadilike yasiende Kama kawaida.pigeni hata bomu moja Basi pale naniliu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Pole pole neno gaidi umeona halilipi hatimaye uachane nalo kimya kimya?
 
Mzungu hatakaa aje akusaidie kama huna maslahi kwake
 
Nadhani kali ni ile Mbowe anasalimiana na wamama wa ccm
Ile ni kali sana.

Natamani zingepatikana nyingi za namna ile.

Hawa jamaa kwa kawaida hawana msaada sana bila ya kutaka kukutoa mshipa.

Hawa ni wa kucheka nao tu na kwenda zako.
 
Back
Top Bottom