Picha kali ya Mwezi wa 4 hii hapa

Hii imetisha sana. Baba Keagan kule analia sijui ameogopa hii picha au vipi

Kabisa mwanamume unasifia kupiga picha na mwanamume mwenzako. Ndo Utaskia mzalendo. Hoja zenu Ni za kufananisha. Mambo kama haya ya aibu mngeyaacha chumbani. Mnakaa mnaangaliana na kusifia picha. Hata kinana yule wa chama Chukua chako mapema kapiga naye. CHadema fanyeni tofauti Basi
 
Kwenye body language psychology, unapoficha mikono yako kama alivyofanya Mr. Mbowe unaportray weakness mentally.
 
[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577] people power
 
Ukali wa picha ni Mbowe kupiga picha na mzungu.
Yule mtandika kitanda Kila siku anaimba Mungu wabariki wazungu!

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Yaani Mbowe kupiga picha na mzungu ndio kumefanya picha iwe kali??,Sawa.Hakika sisi ndio Waafrika inamaana Mbowe angepiga picha na Mchungaji Msigwa wa Iringa Isingekuwa kali lkn na mzungu ndio inakuwa Kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…