Picha: Kambi ya Yanga inatisha, ina sauna

Picha: Kambi ya Yanga inatisha, ina sauna

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Niseme tu yanga ndiyo klabu inayoendeshwa kwa mpangilio wa hali ya juu yaani level za la liga, communication kati ya kitengo hadi kitengo ni ya hali ya juu na kwa nidhamu ya hali ya juu sana

Ukiangalia hizi picha kutoka MJI WA AVIC walipoweka kambi unadhani ni nini kiwatoe nje ya Tanzania jamani, hapo wachezaji wata relax kabisa kama naiona nusu fainali ya klabu bingwa afrika ileee kiulaiiini, bonge la kambi

Hili liwe funzo kwa washamba kwamba tuthamini vya kwetu nyumbani

1-jpg.2297556
2.JPG
3.jpg
 
"Naiona Nusu fainali ya klabu bingwaa kiulaini asee"

Rivers United 1- 0 Manyonyo Fc
Manyonyo fc 0 - 1 Rivers United

Klabu bingwa gani unayosemea wewe unahisi lile kombe la mbuzi na izo beki zenu.
 
Ushamba mzigo,sauna unaona dili mimi pia ninalo kwangu njoo ujifukize
 
Niseme tu yanga ndiyo klabu inayoendeshwa kwa mpangilio wa hali ya juu yaani level za la liga, communication kati ya kitengo hadi kitengo ni ya hali ya juu na kwa nidhamu ya hali ya juu sana

Ukiangalia hizi picha kutoka MJI WA AVIC walipoweka kambi unadhani ni nini kiwatoe nje ya Tanzania jamani, hapo wachezaji wata relax kabisa kama naiona nusu fainali ya klabu bingwa afrika ileee kiulaiiini, bonge la kambi

Hili liwe funzo kwa washamba kwamba tuthamini vya kwetu nyumbani

1-jpg.2297556
View attachment 2297557View attachment 2297560
Wewe Kolo, Agosti 13 Sio Mbali Patakuwa Pachungu Humu, Pindi Ufunguo Atakavowashindilia Msumari Wa Moto Na Kupoteza Tena Mechi Mbele Ya Mabingwa Mara Zote [emoji4]
 
Yanga iingizwe kwenye katiba mpya, na rangi ya hicho kitabu iwe ya wananchi.
 
Back
Top Bottom