ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ahahahahha Avic town kumejaa vumbi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto Aziza kaleta balaaBaada ya mkwanja wa uturuki kuishia kwa kifunguo sasa mnathamini vya kwenu eeh????
Wakipangwa tena na Rivers halafu wakaanzia nyimbani, moja kwa moja tutawaaga kwenye CAFCL."Naiona Nusu fainali ya klabu bingwaa kiulaini asee"
Rivers United 1- 0 Manyonyo Fc
Manyonyo fc 0 - 1 Rivers United
Klabu bingwa gani unayosemea wewe unahisi lile kombe la mbuzi na izo beki zenu.
Bado kidogo tu huo ufunguo wenu utawafungua na sehemu msizostahili, kila siku ufungu...ufunguo...ufungo..ufunguo[emoji2788].Wewe Kolo, Agosti 13 Sio Mbali Patakuwa Pachungu Humu, Pindi Ufunguo Atakavowashindilia Msumari Wa Moto Na Kupoteza Tena Mechi Mbele Ya Mabingwa Mara Zote [emoji4]
Kwahiyo hiyo pic umeiamini, na kwamba bado hujajua kuwa mleta mada ni professional kwenye kitengo cha kejeli? [emoji23]Wale waliosema timu imepelekwa Matombo Morogoro kwa ajili ya Pre season waje wajitekenye hapa, na kucheka wenyewe.
Ukiondoa ushabiki maandazi, ukweli utabakia pale pale! Hilo eneo la Avic Town lina muonekano mzuri, na pia limejitosheleza kwa ajili ya hiyo Pre season.
mji wa avic hapo, thamini vya kwenuAcha fiksi, Hizi ni picha za hotel mercurie ya ismailia, kule misri. Angalia vizuri kishoto utamuona Mnyama Phiri akipiga tizi
Zakuambiwa mix na zako.. usipende kulishwa na kutafuniwaMwalimu wangu aliniambia VICE VERSA IS TRUE
sijui alikuwa anamaanisha nini yule
😂 😂 😂
Mabingwa wenzetu wa 2021/2022 afrika wamebaki nyumban kwann sisi tuanze kuzurura?ushamba huu tumewaachia mabingwa wa mapinduziAliyesema anakwenda uturuki ni Nani?
NI kweli MIPANGO yao ilikuwa avic au mpunga umekata
shemeji, dictionary ya bakita inasema KOLO=mjomba bora niwe mjomba kuliko topolo ambalo kwa kihehe inamaanisha ulegevu, mlendaKwani huyu njaakalihatari ni Kolo au Topolo?
Nilitaka kushangaaa shemeji umekuwajeee tena? Ila mm nakuelewaga wasiokuelewa watapovuka hatari hahahaashemeji, dictionary ya bakita inasema KOLO=mjomba bora niwe mjomba kuliko topolo ambalo kwa kihehe inamaanisha ulegevu, mlenda