QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Excellent. hapo ni wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie hivi huyo: We are the one to make or unmake our government. Hawezi kutuchagulia au kutushawishi tumchague kiongozi anayemtaka yeye, eti kwa sababu aliyemtunza huko Mbeya yupo lock up. Kila nchi ina sheria na Katiba yake, in politics we are not to be ruled by outsiders. Kama kiuchumi labda!!!!!!!
Excellent. hapo ni wapi?
Sisi tuko Zambia tunasubiria train ili tuje kumuona na kupiga kura. Tumeacha biashara ili tuakikishe Dr. Wakweli anashida. Mbarikiwe
Ukoo wa Rockfeller ni wa watu matajiri sana huku Marekani. Nashukuru sana kuona huyu dada kasema ukweli juu ya Kikwete. Ee Mwenyezi Mungu tuondolee kituko hiki!halafu mijitu itaendelea kumpa huyu jamaa lol!!
Ukombozi umewadia! Chagua Dk.Slaa kwa maendeleo na Demokrasia ya kweli. Asante sana kwa picha hizo zenye mvuto!!!:smile-big: