Picha: Kiba akiwa na familia ya Zari

Picha: Kiba akiwa na familia ya Zari

Scorpio Me

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
6,119
Reaction score
7,934
79d7e5acca42eabc91f02ae191ed1b31.jpg


7f0c1f2e25b770929ea45ac2aa92d55e.jpg



Wamependeza wenyewe.......
Neno lolote kwao.....
 
Alikiba bhanah! Daah,anafata nyayo za Diamond tu.

Diamond katembea na Jokate,naye huyo kajipendekeza. Diamond kamtema Wema,naye huyo kaanze naye Urafiki. Diamond kamzalisha Zari,naye huyo anawatafuta urafiki na wadogo zake na Zarinah.

Aisee,aya bhanah! Kila la kheri Kibakuli.
 
Alikiba bhanah! Daah,anafata nyayo za Diamond tu.

Diamond katembea na Jokate,naye huyo kajipendekeza. Diamond kamtema Wema,naye huyo kaanze naye Urafiki. Diamond kamzalisha Zari,naye huyo anawatafuta urafiki na wadogo zake na Zarinah.

Aisee,aya bhanah! Kila la kheri Kibakuli.
Kawatafuta? Kiba yupo uganda kwa dili zake kwa hiyo kawatafuta hao nduguzenu au wao ndio wamemfuata akiwa kwemye mishe zake
 
Alikiba bhanah! Daah,anafata nyayo za Diamond tu.

Diamond katembea na Jokate,naye huyo kajipendekeza. Diamond kamtema Wema,naye huyo kaanze naye Urafiki. Diamond kamzalisha Zari,naye huyo anawatafuta urafiki na wadogo zake na Zarinah.

Aisee,aya bhanah! Kila la kheri Kibakuli.
Acha povu zisizo na msingi mtoto wa kiume sijui wa kike?tulia we na blazamen wako msubiri kuitwa anko to,kabla ya diamond kanumba kaburuza sana wema,hashim kwa jokate ndo usiseme taja dem ambaye diamond alimkuta bikira apa mjini ndo useme kiba anafata nyayo,hamna hamna diamond kwa wema anaweza kuwa wa 84 kati ya wale 122.
 
Hivi kuna mtu ana picha yoyote ya Diamond na Ali Kiba wakiwa pamoja!? Maana sijawahi kuiona.
Hata kama unayo wakiwa wadogo wanacheza, mi mwenzenu sijawahi
Angalia video ya Tunda man, starehe gharama, wote wapo mule kwenye kochi moja
 
Back
Top Bottom