Mama yake atajisikia vizuri maana pato la mwisho wa mwaka kule Aruuu litakuwa limeongezeka...
Mkuu hao wamepanga kutuchafua hakuna kitu kama hicho huyo jamaa ni wa Nigeria
Jamaa baada ya kuchoshwa na maisha na kuona aibu kurudi afrika akaona bora aolewe!!!!!. Jamani tuwasaidie watoto wetu waamini maisha yapo bongo na si lazima Ulaya
mbona mnamsema kaolewa mwafrika,,nani hapo kaandikwa mke ,,mme,,acheni kujisusha,,kila baya mwafrica
Angevaa shera basi. Anashusha hadhi ya suti huyo choko