Picha: Kikosi cha Yanga mwaka 1994

Picha: Kikosi cha Yanga mwaka 1994

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Ni Kikosi Bora kabisa Afrika Mashariki na hiyo ilikuwa 1984

FB_IMG_16197622622637684.jpg
 
Lete na mafanikio yake hapa ndani na nje ya nchi.
 
Umenikumbusha mbali sana miaka hiyo na kizuri hawa wote ni wazawa.
 
Kwangu mimi hiki ni kikosi bora kutokea kwa kizazi chetu hiki... Nasikia kocha mpya wa Yanga kasema mule kuna wachezaji 3 tu, wengine wakafanye kazi nyingine - hao wanamuziki pia warudi kwao wakaendelee na bendi zao.

 
Back
Top Bottom