Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Anatafuta kick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Dah hii nchi Ina vijana wa ovyo,si ungemalizana nae yeye bila kumueka mama yake,
Zito is feeling guilty.Anatafuta kick
View attachment 2461989
kama mnavyobwia huko lumumba kwa tozo zetuWema ni kusemea shida za watu. Sio kazi kubwia buyu la asali tu.
kumbe uwanaume wake unaujua wewe lumumba ndio maana huwa nawaita nguruwe kwa kukosa akili hata kinyes chake anakula.Sio wewe unaeumizwa na showoff za mwanaume mwenzio? Mwenzio katafuta pesa kapata sahivi anafanya showoff zake zinakuuma. FANYA NA WEWE
Hakuna chama cha upinzani nchi hiiHuyu sasa ndiye mzalendo wa kweli sio kama wengine kazi yao ni kubwabwaja tu.
ACT ndio chama cha upinzani Tanzania sio hilo genge la wapayukaji na kubwabwaja.
namshauri Lisu ahamie ACT ili kuleta upinzani wa kweli nchini.
AhaaaaZito is feeling guilty.
Yeye ndiye aliyesababisha mipaka ikafungwa, bei zikaporomoka, wakulima wakauza mazao yao kwa hasara.
Sasa amerudi kujikosha!
Acha zakoSema kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania utakua umeeleweka zaidi
Sio wa lumumba wala ufipa, kuna thread sio za kuwekwa humu ni too personalkumbe uwanaume wake unaujua wewe lumumba ndio maana huwa nawaita nguruwe kwa kukosa akili hata kinyes chake anakula.