Picha: Kiongozi wa ACT Wazalendo akijifanya mwema kwa raia kumbe ni mchumia tumbo tu

Sio wewe unaeumizwa na showoff za mwanaume mwenzio? Mwenzio katafuta pesa kapata sahivi anafanya showoff zake zinakuuma. FANYA NA WEWE
 
Sio wewe unaeumizwa na showoff za mwanaume mwenzio? Mwenzio katafuta pesa kapata sahivi anafanya showoff zake zinakuuma. FANYA NA WEWE
kumbe uwanaume wake unaujua wewe lumumba ndio maana huwa nawaita nguruwe kwa kukosa akili hata kinyes chake anakula.
 
Huyu sasa ndiye mzalendo wa kweli sio kama wengine kazi yao ni kubwabwaja tu.

ACT ndio chama cha upinzani Tanzania sio hilo genge la wapayukaji na kubwabwaja.

namshauri Lisu ahamie ACT ili kuleta upinzani wa kweli nchini.
 
Picha alihitaji kwa kujionyesha yupo pamoja nao.
 
Huyu sasa ndiye mzalendo wa kweli sio kama wengine kazi yao ni kubwabwaja tu.

ACT ndio chama cha upinzani Tanzania sio hilo genge la wapayukaji na kubwabwaja.

namshauri Lisu ahamie ACT ili kuleta upinzani wa kweli nchini.
Hakuna chama cha upinzani nchi hii
 
Sema kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania utakua umeeleweka zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…