Propaganda...
HUYU ni Mzee au mtoto?
Mzee wa kuchochea kuni mbichi kuwatoa wahuni wa CCM shimoni walimozamia bila kufuata utaratibu ha ha haHUYU ni Mzee au mtoto?
Wahuni wako CCM.... Polepole alishamaliza huo Ubishi.kataa wahuni
Bashiru Ally KakurwaHuyo ndio makamu mwenyekiti bara siku chache zijazo.
Msifute hii thread.
Kule nyuma Bashiru alishasema hataki cheo kingine zaidi ya kileee.Bashiru Ally Kakurwa
Mwalimu wako wa darasa la siasa.