chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Wanahisi mwijaku ndio anajua serekaliWalichelewa kupata oxygen kwenye ubongo wakati wanazaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanahisi mwijaku ndio anajua serekaliWalichelewa kupata oxygen kwenye ubongo wakati wanazaliwa.
Kufundisha ndio awe chadema?kwani mwalimu wa somo fulani labda akifu disha ndio anakuwawa mrengo huo?Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Uwepo wake hapo sio lazima awe ni mwanachadema.! Chadema ni taasisi,yawezekana wamemualika atoe mafunzo hasa kuhusiana kwa mambo yanayohusu ukaguzi wa hesabu za chama. Big up ChademaKumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
CrapWabongo akili zipo chadema ila matumbo yapo CCM
Kwa hiyo picha hii kwako unaitafsiri kuwa huyu Prof ni mwanachama wa CHADEMA? "Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?"- in FaizaFoxy's voiceKumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Kijani mko na shida mingi sana! Hamna tofauti na uke wenza! Kila sms ikiingia kwa mume anataka ajue kama ni mke mwenzie katuma na anasemaje!? Kwa CDM hii ya Sasa kijani jipangeni sana!Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Utawaua kwa presha hawa mboga mboga!Kila Prof ni chadema isipokuwa Kabudi
Na Chadema siku zote ni wakweli!Kama kuwa na akili timamu na kusimamia ukweli ni kuwa CHADEMA basi kweli Prof ni CHADEMA.
Kabudi ndiye yule mwenye macho kama bundi?Kila Prof ni chadema isipokuwa Kabudi
Kama wasomi ulitaka wasikukosoe hiyo emoji kwenye teknolojia ungejua kuna mapangufu wasingeweza kuwa na wakosowaji.IIla huyo msomi anagubu sio kitoto 🤣🤣
Umethibitishaje ni mwanachama wa CHADEMA?Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Mtumishi yeyote wa umma ana haki ya kikatiba kujiunga na chama chochote anachotaka.Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101
Shida iko wapi akiwa CHADEMA! Sijui ni kwanini kuna watu huwa mnajiona ndiyo mna haki kwenye hii nchi iliyo ukubali mfumo wa vyama vingi zaidi ya miaka 30 iloyopita.Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!
View attachment 3268101