PICHA: Kumbe Prof Assad ni MwanaCHADEMA

PICHA: Kumbe Prof Assad ni MwanaCHADEMA

Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!

View attachment 3268101
Uwepo wake hapo sio lazima awe ni mwanachadema.! Chadema ni taasisi,yawezekana wamemualika atoe mafunzo hasa kuhusiana kwa mambo yanayohusu ukaguzi wa hesabu za chama. Big up Chadema
 
Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!

View attachment 3268101
Kijani mko na shida mingi sana! Hamna tofauti na uke wenza! Kila sms ikiingia kwa mume anataka ajue kama ni mke mwenzie katuma na anasemaje!? Kwa CDM hii ya Sasa kijani jipangeni sana!
 
Mwenzio anapiga pesa za Matunda ya shule yake.
Wewe unakufa masikini na ukoo wenu wote.

Pole sana
 
IIla huyo msomi anagubu sio kitoto 🤣🤣
Kama wasomi ulitaka wasikukosoe hiyo emoji kwenye teknolojia ungejua kuna mapangufu wasingeweza kuwa na wakosowaji.
Ndio maana kuna mitandao ya kijamii tofauti na software tofauti kujua hipi ni kwako kutoa emoji
 
Awamu ya tatu ya Mkapa,Prof Safari (Wakili) alifukuzwa kazi pale chuo cha diplomasia kwa kumtetea Prof Lipumba mahakamani kesi ya uchochezi dhidi ya serikali.
 
Kumbe Magufuli alipomng'oa huyu CAG Mstaafu kabla ya wakati na kwa kinyume Cha Sheria alimfahamu kuwa ni Mwanachama wa CHADEMA!!

View attachment 3268101
Mtumishi yeyote wa umma ana haki ya kikatiba kujiunga na chama chochote anachotaka.
Vyeo km RC, DC DED ndo vya CCM by the way CAG, AG na wengine wa majeshini hatakiwi kuwa na chama lbd wakistaafu
 
Kwahiyo Samia alivyopewa tuzo na BAWACHA alikuwa ni CHADEMA!? Jamii Forums imeshavamiwa na Mamluki aisee
 
Huyu ni consultant anaweza kutumiwa na yeyote Acha fikra mfu, anaweza kutumika na yeyote.
 
Back
Top Bottom