Mshasahau walichowafanya? Hebu waite kwa heshma kdg!Duuu yanga hadi kagera inayoburuza mkia inawanyima usingiz
Kwani ligi ilivyoanza zilikuwa point ngapi?Wamatopen nawajuatu , kwa taarifa yenu bado point 3 mumbwa nyie
Ushahidi kamuulize Eric Ngwengwe kipa wa mbao... Tangu auze mechi na Simba mpaka kesho hajacheza kasimamishwa na ana kesiToa ushahidi kama huu.Huna data kakojoe urudi kumalizia usingizi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli nyie mbumbumbu mapema yote hii mshaanza kulia kulia mbona mechi bado,,Duh.. Aisee cheki mpango inavyosukwa, hadi matusi ndani. Vyura bila figisu hamuwezi kushinda