bruno castol
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,046
- 661
Kila bitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Save your povuNdo kilichobakia chadema hicho, pussy tu!
shilawadu(Shirika La Wambea Duniani) hiko ndo kirefu chakeHivi shilawadu ni kipindi cha nini
Sijawahi kuangaliaga hicho kitu
Kosa hapo liko wapi?
Siongelei kesi ninaongelea kitendo cha kusindikizwa na kamanda Lema ni kosa?Ana kesi ya kukutwa na msokoto mmoja wa bangi
Mkk ban ishaishaWaandaji wa hayq matamasha wanakuaga,waongo wakuptiliza
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema akimsindikiza Mahakamani Miss Tanzania 2006 kamanda Sepetu kwenye kesi yake inaendelea mahakama ya Kisutu leo jijini Dar es Salaam.
View attachment 481225
DU WEMA GHAFLA AMESHAKUWA KAMANDA? AMA KWELI MAAJABU MENGINE HAYA.Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema akimsindikiza Mahakamani Miss Tanzania 2006 kamanda Wema Sepetu kwenye kesi yake inaendelea mahakama ya Kisutu leo jijini Dar es Salaam.
View attachment 481225
Utafkir alikua nae kwmy bombadiaMmh unajuaje hakuja nao?
Hahaha nimecheka Kamanda WemaCheo cha kamanda siku hizi kinapatkna kirahisi
wakati mkuu wa nchi anawaza vi wonderWabongo mnawaza ngono tu