Tlaatlaah JF-Expert Member Joined May 18, 2023 Posts 24,665 Reaction score 25,388 Jan 21, 2025 #21 Bolotoba said: gentlemen sioni. kama kuna shida hapo, maana neno siasa mimi naweza nikalitafakari kwakuliita " si hasa sio kihivyo gentlemen Click to expand... uhasama wao moyoni mwao ni kama chairman na vice chairman, is real! ukizubaa unapotea mazima. That's not politics gentleman, what these gentlemen are doing is total war🐒
Bolotoba said: gentlemen sioni. kama kuna shida hapo, maana neno siasa mimi naweza nikalitafakari kwakuliita " si hasa sio kihivyo gentlemen Click to expand... uhasama wao moyoni mwao ni kama chairman na vice chairman, is real! ukizubaa unapotea mazima. That's not politics gentleman, what these gentlemen are doing is total war🐒
ILAN RAMON JF-Expert Member Joined Sep 10, 2013 Posts 9,698 Reaction score 4,488 Jan 21, 2025 #22 Ma Tlaatlaah said: nadhani wanaonyesha smile za kinafiki kwa kiwango cha juu sana kwa umma 🐒 Click to expand... Maisha bila unafiki hayaendi
Ma Tlaatlaah said: nadhani wanaonyesha smile za kinafiki kwa kiwango cha juu sana kwa umma 🐒 Click to expand... Maisha bila unafiki hayaendi
K komasalonde JF-Expert Member Joined Sep 9, 2024 Posts 1,783 Reaction score 2,479 Jan 21, 2025 #23 TIMING said: I wish ya moyoni yangekua usoni Click to expand... Lema, huenda aliandaliwa kujifanya amekosana na Mbowe, ili amwingize Chaka Kamanda Lissu kwenye uchaguzi. Ikumbukwe damu ni nzito kuliko mayiii (kikongo).
TIMING said: I wish ya moyoni yangekua usoni Click to expand... Lema, huenda aliandaliwa kujifanya amekosana na Mbowe, ili amwingize Chaka Kamanda Lissu kwenye uchaguzi. Ikumbukwe damu ni nzito kuliko mayiii (kikongo).