Pre GE2025 PICHA: Lema, Boni Yai wakigonga tano kwa furaha kwenye mkutano mkuu CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
gentlemen sioni. kama kuna shida hapo, maana neno siasa mimi naweza nikalitafakari kwakuliita " si hasa sio kihivyo gentlemen
uhasama wao moyoni mwao ni kama chairman na vice chairman, is real!

ukizubaa unapotea mazima. That's not politics gentleman, what these gentlemen are doing is total war🐒
 
I wish ya moyoni yangekua usoni
Lema, huenda aliandaliwa kujifanya amekosana na Mbowe, ili amwingize Chaka Kamanda Lissu kwenye uchaguzi. Ikumbukwe damu ni nzito kuliko mayiii (kikongo).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…