kapitia kenya au mkoa wa kilimanjaro? km kapandia kenya akifika kwao ataeleza mt kilimanjoro ipo kenya. wabongo tushtuke!
Nahisi atakuwa amepitia kenya,angepitia bongo tungeshapata taarifa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kapitia kenya au mkoa wa kilimanjaro? km kapandia kenya akifika kwao ataeleza mt kilimanjoro ipo kenya. wabongo tushtuke!
NAOMBA KUULIZA KWA ANAYEJUA SABABU: Kwa nini lile bango la pale kileleni linaloonyesha urefu wa mlima,jina la kilele nk miaka yote lipo na muonekano wa hovyohovyo-makeshift look-kiasi linaonekana kama vijana waliokota mabanzi ya mbao wakagongagonga!. Kweli hatuwezi kuwa na bango zuri kuliko hilo,kweli!.
Zinakutosha kweli wewe? Hivi kuna Nchi gani hapa duniani ambayo utakosa raia wake wasiomjua mess? Halafu huyo jk yeye awe na umaarufu kwa lipi kimataifa?
kwa hiyo mnataka kusema messi ni maarufu zaidi ya jk? poor you
sio Tanzania imebahatika kutembelewa na Messi
Niuongooo huuoo
tuambie ukweli sasaaaa
NAOMBA KUULIZA KWA ANAYEJUA SABABU: Kwa nini lile bango la pale kileleni linaloonyesha urefu wa mlima,jina la kilele nk miaka yote lipo na muonekano wa hovyohovyo-makeshift look-kiasi linaonekana kama vijana waliokota mabanzi ya mbao wakagongagonga!. Kweli hatuwezi kuwa na bango zuri kuliko hilo,kweli!.
Hili Tangazo lipo kitambo sasa kwenye Media tofauti za dunia hii..... linachekesha sana. Kobe Vs Messi.
nyie mnasema messi na jk??? hata diamond maarufu kuliko JK