Umeishatoa kigunzi na kujisafishaNasikia umeshapanda basi....Karibu Mafiati
Pilot wa miaka 55, ccm ilimkataa.Wanajuta kumzuia kuruka na Helikopta aisee,bora wangemruhusu tu
Safi sanaHuku CCM inazidi kupotea kabisa kila kukicha toka kampeni zianze. Kila watu unaokutana nao wanasema Lissu Lissu Lissu, kura zetu ni kwa Lissu kila mtu njiani anasema
mafiatiUmeishatoa kigunzi na kujisafisha
Najua gunzi linakupa raha endelea kupata stopper na kutekenywa 2 in 1 ndio ulevi wako ndio maana unapakumbuka mafiata maana ndio waliokuanzishia hiyo dozimafiati
Wanyooshe mikono juu....hili ni Gharika Somba Somba
Wakati huo wewe utakuwa wapi?Hata waibe kura vipi hawatazimaliza. Lissu tayari ni rais wa nchi hii. Na wasirogwe wajaribu kuiba, watakiona cha mtema kuni. Najua kusikia kwa kenge mpaka atoke damu masikioni, sasa acha wajaribu.