BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hivi birdman hakuepo eeh mkuuIngizo jipya hapo ni drake na birdman
Ya kutosha mkuu...daaah,kumbe Dre still ana ukwasi wa kutosha eeeh?
Naona Diddy karudi nafasi yake tena. Na pia drake kamuondoa nadhan alikua 50 cent nafas yake hio ya 5.
5. Drake--Utajiri wa Bilioni 126 Tsh.
4. Birdman--Utajiri wa Bilion 231 Tsh.
3.Jay Z -- Utajiri wa Trilioni 1.2 Tsh.
2. Dr. DRE --Utajiri wa Trilioni 1.4 Tsh.
1.P.Diddy -- Utajiri wa Trilioni 1.5 Tsh.
Mpangilio wa PICHA kuanzia namba 5 hadi 1.
View attachment 412567
View attachment 412568
View attachment 412569
View attachment 412570
View attachment 412571
Tanzania shillings mkuu...nime convert kwa rate ya sasa hiviFafanua mkuu , hapo ni us dollar au tanzanian shillings
Mkanunue mb mfanye utafiti huoNi vyema ukatuwekea na vyanzo vya mapato yao..!
Figure pekee haitoshi..!
Sawa..!Mkanunue mb mfanye utafiti huo
umepata bei gani? unaonekana katika 100% una uwezo wa 1% kufikiriTanzania shillings mkuu...nime convert kwa rate ya sasa hivi
ya kimarekani siyo ya TzMbona Hawa marapper masikini sana mweee.
Yaani tajiri kabisa ana trillion 1.5 tu?
Aibu kwao
Asante ...convert wewe mwenye IQ 100%umepata bei gani? unaonekana katika 100% una uwezo wa 1% kufikiri
Subiri kidogo kama dakika 1.Sawa..!
Ila mtoa mada ndio inaonekana anaiweza hiyo kazi...
Sio mbaya akifanya na hili..!