BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
- #101
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unaona amewapunja watumie kwenye mpesa pesa zao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji817]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unaona amewapunja watumie kwenye mpesa pesa zao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji817]
Nazani umesoma maoni yangu kwa Hasira.. Hiyo Fedha imewekwa katika shilingi ndio mana nimepata mashaka naona kama fedha kidogoDogo unakula vumbi bongo unasema1.5 Trilion sio hela nyingi? Wabongo bana!
Izidishe mara 2100 hiyo pesa,upate pesa ya madafu.
Mkuu unapost na wewe uonekane umepost au vipi kaka[emoji15] ....Dr Dre akiwa aged 16 alishamtemesha mtu mate wewe unasema hana mtoto?u must be kidding dude!
Nani kakudanganya wewe utajiri wa John D. Rockefeller ulikuwa $ 340 billion miaka kibao huko nyuma leo hii hamna kitu David rockefeller ndo mtu pekee billionea aliyebaki kutoka hii family na anamiliki $ 4 billionWakina Rockefeller na Rothschild wanazimiliki hizo sababu wao ndio wanaoprint hizo karatasi.
wewe ndio ulianza kujifanya unamjua sana Dre kumbe kapukupitia huko post za nyuma wenzio washanielewesha vizur hawajaleta ujuaji kama wako ili na wewe uonekane unajua au?
AlikuepoHivi birdman hakuepo eeh mkuu
wewe ndio ulianza kujifanya unamjua sana Dre kumbe kapuku
Ndio huyu aliyecheza Straight outta Compton akimuigiza baba yake kama sijakosea.Mkuu unapost na wewe uonekane umepost au vipi kaka[emoji15] ....Dr Dre akiwa aged 16 alishamtemesha mtu mate wewe unasema hana mtoto?u must be kidding dude!