miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Mi hilo jicho nashindwa kuelewa kapigwa ngumi au ndo pozi khaa, si aende kwa lulu amfundishe kujibinua makalio
Yaan hapo utakuta kaambiwa umependezaaa
Yaan hapo utakuta kaambiwa umependezaaa
Hiyo pua sasa....
Watu wanamnanga kinafiki.. kumwambia kapendeza
Hivi umeisha mpa binamu mchongo wa USA?Ila kwa umbea hata visa tunaweza tusipate
Alivyo na roho mbaya huyo anipe wapi? Ebu nipe mwenzangu nikawaone akina nelly na kerrueche nipige nao picha, watakomaje humu nikirudi? Full mipichaa
Sijampa halaf huyo stuna hata sijamuona huyo warumi ni wa kubaki tu hakuna kwenda nae
Alivyo na roho mbaya huyo anipe wapi? Ebu nipe mwenzangu nikawaone akina nelly na kerrueche nipige nao picha, watakomaje humu nikirudi? Full mipichaa
Muke ya mzungu aka lucy komba (pichan ) akiwa kaweka pozi matata, pamoja na mtoto wake wa kiume. Ila lucy sio kwa pozi hilo, na ilo jicho vipi tena? Au ndo matunda ya ndoa? By the way tumemis wedding yako matata pamoja na galaxy yako