Picha: Lulu atoa sadaka ya shukrani kanisani

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best Movie East Africa’ @elizabethmichaelofficial siku ya jana aliweza kuhudhuria ibada katika kanisani la Living Water Centre (Kawe Makuti) likiwa chini ya Mtume ‘Enesmo Ndegi’ kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu aliyemuwezesha kupata ushindi wa tuzo.
“Nina kila sababu ya kumshukuru Mungu pamoja Baba na Mama hakika sijutii kuokoka kwangu na ata wakisema vyovyote I don’t care mimi ni mradi namuomba Mungu na mambo yangu yanaenda.” Lulu

 
Lulu ameokoka? Hiyo movie kwanza imekaa vipi?
 
Walokole siku hizi raha kweli mlokile clubbing kwa sana, mlokole kuchoropoa wanaume za watu kawaida,kusifiwa kulala na Nokia wa Nigeria kawaida siku hizi mlokole kuvaa nusu utupu pia kawaida hahahaaaa haya lakini tusemeje sasa ni hongera zake tu ila Mungu hadhihakiwi kirahisi hivyo.....japo mi pia si mkamilifu ila lulu kujiita mlokole
 
Yeye aishie kutoa hyo bakshishi ila asiseme ameokoka huku ni kuwadhalilisha wanaoabudu katika kweli.
 
Mkuu nimecheka sana hii comment yako
Hako kadgo kama ni kamefikia hatua hyo, kameamua kumshushia heshma Mungu vya kutosha, yan itaonesha kuwa Mungu aliposema watakao ingia mbinguni ni waliokoka bas hatukumuelewa hii kauli, kama tulielewa basi tuna kamzizi ka kiburi.
 
Hako kadgo kama ni kamefikia hatua hyo, kameamua kumshushia heshma Mungu vya kutosha, yan itaonesha kuwa Mungu aliposema watakao ingia mbinguni ni waliokoka bas hatukumuelewa hii kauli, kama tulielewa basi tuna kamzizi ka kiburi.
Semeni nyie bhana si wengine tukisema wanadai eti tunahukumu
 
Lulu acha hizo...kesi yako ya mauaji ya Kanumba imeishia wapi?
Ngele mmeachana...ufuska mtupu!
 
Hapo wapo location,ni katika jitihada na kutengeneza movie mpya. Hicho kipande tutakiona muda si mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…