Picha: Maendeleo ya ujenzi hospitali ya wilaya Kivule(Amana ndogo)

Serikali imejitahidi kujenga miundombinu mingi ya Afya kuanzia vituo vya afya, Hospitali za Wilaya, Mikoa n.k

Ila shida yake ni kukosa Vifaa tiba na Wataalamu tu, hali hii isipochukuliwa hatua miradi hii itabaki kama Tembo mweupe (White Elephant Project).
 
Hapa kutakuwa na tatizo, huu ujenzi umeanza kitambo sana kama picha ya sasa ndio hii basi kuna shida. Nadhani jengo la hospitali binafsi ya Kitonka pale Gongo la Mboto Mzambarauni linaukubwa zaidi ya hili ghorofa la Kivule hospital na yalianza kujengwa muda mmoja wakati Kitonka hospital is operational long time.
 
Nafikiri walielekeza nguvu kwenye majengo mengine unayoyaona hapo ni machache Kati ya mengi yaaliyo Bora na mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…