Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
Duh gofu hilo kumbe wana sababu za msingi muungano hauwanufaishi wao
Watapata habari kuwa "wamesemwa JF". Baada ya mwezi utaona Gofu hilo linapakwa rangi.
UNESCO wanapenda uhifadhi wa majengo ya kihistoria, mdau mmoja awatonye UNESCO.