Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
Wakuu wa nchi wako busy na misafara huku kisima cha kuchota pesa za kusafiria hakikauki wakati baadhi ya majengo ya mmoja ya mhimili wake yakiwa hoi na yanatia kichefuchefu. Gharama ya kukarabati isipofanyika hima itatugharimu walipa kodi kujenga jengo jingine kwa mabilioni. Hali hii wahusika waniona?