Picha: Makao makuu ya Urusi yalipuliwa kwenye operesheni ya kuirejesha Kherson

Nimesikia leo DW kuwa licha ya Ukraine kutumia nguvu zote kuhakikisha wanarudisha maeneo yaliyochukuliwa na Urusi lakini bado wamefail kwa kiasi kikubwa sana.
 
Nimesikia leo DW kuwa licha ya Ukraine kutumia nguvu zote kuhakikisha wanarudisha maeneo yaliyochukuliwa na Urusi lakini bado wamefail kwa kiasi kikubwa sana.

Endelea kusikia ila kibano kiko pale....
 
Kumbe na wewe akili huna, hio picha ukute ipo Nakuru hapo. Naomba uthibitisho kuwa hilo jengo lipo Urusi
 
Kumbe na wewe akili huna, hio picha ukute ipo Nakuru hapo. Naomba uthibitisho kuwa hilo jengo lipo Urusi

Kipigo kiko pale pale, mtasema tunapost picha za Morogoro sijui Katavi mara Nakuru lakini huyu Mrusi mliyemtegemea anaendelea kuwatia aibu nyie waarabu wa Bongo.
 
Mkuu vipi wanajeshi wa Ukraine waliokufa wamefika wangapi mpaka sasa,maana Jana tuliishia 3700 according to Russia Defense Ministry
Wamekufa wote, kwa sasa Urusi inakaribia Kyiv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…