Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tozo . comView attachment 2343918 Makarani wagoma kupokea 300,000 badala ya 340,000 walizotakiwa kulipwa, inasemekana kuna makato yamekatwa ya 40,000.
PointHao ni vibarua wanaolipwa kwa siku na sheria ya posho ya vibarua iko wazi, vibarua hawalipi kodi.
Hivyo vishikwambi kioo chenyewe tu unaona picha kwa shida!!hata mimi nilifikilia hivo maana kishikwambi kimoja ukipeleka kariakoo wakafuta kila kitu unauza laki 3 na laki 3 aliyopewa wakijumlisha inakuwa laki 6
Hivyo vishikwambi kioo chenyewe tu unaona picha kwa shida!!
Bonafide claim of rightKuidai serikali kwa nguvu za kujitwalia mali yake ni kujivutia matatizo yatakayo zidi kiasi unacho idai.
Tatizo nchi imejaa madalali kila kona yani. Sehemu yeyote ambako hela itatoka au kupita lazma waweko madalali. Magufuli alipambana sana kuwafyeka madalali maofisini. Na hao ndio waliokuwa mstari wa mbele kumpinga hadi siku aliokuwa maiti anazikwa.Nchi hii kwenye kulipana lazima itoke majanga
Ova
Na ndio hapo umkute nayo karani Countrywide anavyoringa nayoHivyo vishikwambi kioo chenyewe tu unaona picha kwa shida!!
Kwan hayo maswali waliyatoa hewani 😀 si ndio waliyoandaliwauku mtaani walikuwa wanahojii kimasihara wakijua watapewa posho ya maana
eti wewe ni mwanmke au mwanaumeee ...... nyumba yako ina thamani ganiii ... posho yao ina thamani ganiii
Mhh!!!.View attachment 2343918 Makarani wagoma kupokea 300,000 badala ya 340,000 walizotakiwa kulipwa, inasemekana kuna makato yamekatwa ya 40,000.
[emoji23]akili kubwa mkuuhata mimi nilifikilia hivo maana kishikwambi kimoja ukipeleka kariakoo wakafuta kila kitu unauza laki 3 na laki 3 aliyopewa wakijumlisha inakuwa laki 6
Hao makarani wanapewa cash in hand au kwenye ilani?View attachment 2343918 Makarani wagoma kupokea 300,000 badala ya 340,000 walizotakiwa kulipwa, inasemekana kuna makato yamekatwa ya 40,000.
Anapambania posho yake huko na Crimea baada ya sensa kuisha tutaanza ona ujinga wao humu tulipumzika.Na ndio hapo umkute nayo karani Countrywide anavyoringa nayo