Life well lived!
Najiuliza siku nikiitwa kurudi nipotoka, pale pumzi yangu itakapotwaliwa, ntaacha alama au kumbukumbu gani Kwa familia, marafiki, wafanyakazi, jamii, taifa na yeyote niliyewahi kufahamiana nae?
Heri ya mwaka mpya Kwa wanajukwaa wote wa JF.