Picha: Maspika Wastaafu na Spika mpya, Job Ndugai hayumo

Mimi namwelewa Ndugai sii kazi rahisi hivyo bado anaugulia maumivu ya yaliyomtokea. Tumwache atakaa sawa tu. Alifanya maovu mengi pia yanamuumiza mbele ya jamii. Ukipewa uongozi kumbuka ile ni dhamana tu usijisahau.
Duh !
 
Hahaaa!
Wapi Ndugai?
Wapi mgogo?
Kwisha habari yake, wanawake wakiCCM wamemchamba, kumvua nguo na kumtimua kwa aibu kubwa.
 
Ndugai amekuwa mdogo kuliko kidonge cha Piritoni. Mgogo wa watu kaamua kuingia mitini baada ya kukimbizwa mbio mbio na kinyago cha kike kutoka huko ukojanini.
 
Mimi namwelewa Ndugai sii kazi rahisi hivyo bado anaugulia maumivu ya yaliyomtokea. Tumwache atakaa sawa tu. Alifanya maovu mengi pia yanamuumiza mbele ya jamii. Ukipewa uongozi kumbuka ile ni dhamana tu usijisahau.
Alimnyanyasa sana LIsu
 
Yustino yuko biza na mikeka yake ya mbet… muacheni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…