Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Only the late SittaHakuna kati ya hao aliyelitendea bunge haki. It is rubbish!
Kuna nyepesi zinasema baada ya kustaafishwa alipelekwa Ujerumani akapumzike kidogo, kupisha mchakato wa kumpata Spika mwingine.Though I'm not sure km ni sahihi.Mimi namwelewa Ndugai sii kazi rahisi hivyo bado anaugulia maumivu ya yaliyomtokea. Tumwache atakaa sawa tu. Alifanya maovu mengi pia yanamuumiza mbele ya jamii. Ukipewa uongozi kumbuka ile ni dhamana tu usijisahau.