CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Punguza makasiriko bossUongozi sio zawadi- SSH- 11 October, 2021-Ikulu, Chamwino ..yani mtu aamue kuokota makopo na wakazi wenzake huko Bhonchugu eti atunukiwe "Cheo" --Akili za kingai kabisa hizi!
Je aliishia kupiga nao selfii tu au alichukua japo, hatua kuwaonyesha wanawezaje kurudi darasani, au hata kuwapahamasa ya kwanini warudi shule.Jamaa ni jembe saaaaana roho nzuri mno anapiga kazi KWERI KWERI , huyu anatakiwa apewe u waziri mkuu kabisa ,hakika wana tarime mmepata jembe embu angalia hapa anavyoonyesha upendo kwa wana jimbo wake,mbunge oyee
Jamaa anajali sana , ana utu kupjwita kiasi
View attachment 1971273
anakula uwaziri mkuu mwakani hiyo picha imeonyesha jinsi anavyojali wanyongeKufanya kazi mbele ya camera ndio kuchapa kazi? Sifa za kijinga hyo ukimpa uwaziri mkuu TBC haitakua na kazi nyingine.
Mbona mna makasiriko hivyo jamaniKuna watu wanaandika utadhani hawana vichwa
Yaan kubeba makopo ni kujali wanyonge?anakula uwaziri mkuu mwakani hiyo picha imeonyesha jinsi anavyojali wanyonge
Jembe linachapa kazi sana hiloYaan kubeba makopo ni kujali wanyonge?
Hyo hata huo ubunge ni kwa vile alipewa wa mezani ila kiualisia hana sifa za kua mbunge
yaan kiongozi badala unakuta wakulima wanalima kwa kutumia jembe la mkono badala uwasaidie kwa kuwapa trekta et na wewe unashika jembe tena mbele ya camera .
Kwenye hyo picha nikwambie tu baada ya kuselfie na hao watoto aliendelea na mishe zake
Uchaguzi ukikaribia haya ndiyo maigizo.Jamaa ni jembe saaaaana roho nzuri mno anapiga kazi KWERI KWERI , huyu anatakiwa apewe u waziri mkuu kabisa ,hakika wana tarime mmepata jembe embu angalia hapa anavyoonyesha upendo kwa wana jimbo wake,mbunge oyee
Jamaa anajali sana , ana utu kupita kiasi
View attachment 1971273
πππ na kuchambua mchele bila kusahau kunywa kahawa na wanyongeUchaguzi ukikaribia haya ndiyo maigizo.
Subiri uje usikie majaliwa akiwasaidia kupalilia mahindi jimboni kwake.
Hawa watu wanamaigizoπππ na kuchambua mchele bila kusahau kunywa kahawa na wanyonge
Mpuuzi huyo, huko shule chakula kinatolewa bure? Uchumi umevurugwa na serikali ya chama chake, na huo ndio uhalisia wa maisha ya familia nyingi yalivyo kwa sasa.Jamaa ni jembe saaaaana roho nzuri mno anapiga kazi KWERI KWERI , huyu anatakiwa apewe u waziri mkuu kabisa ,hakika wana tarime mmepata jembe embu angalia hapa anavyoonyesha upendo kwa wana jimbo wake,mbunge oyee
Jamaa anajali sana , ana utu kupita kiasi
View attachment 1971273
Msimletee makasiriko jamani ataukosa u waziri mkuuMpuuzi huyo, huko shule chakula kinatolewa bure? Uchumi umevurugwa na serikali ya chama chake, na huo ndio uhalisia wa maisha ya familia nyingi yalivyo kwa sasa.
Kama ushakula vyake ili umpigie debe pambana ila kwa huku jf umeangukia pua upat kituJembe linachapa kazi sana hilo
Hawa ni wajinga wenzake jiwe ambao kwao umaskini ndiyo sifaYaan kubeba makopo ni kujali wanyonge?
Hyo hata huo ubunge ni kwa vile alipewa wa mezani ila kiualisia hana sifa za kua mbunge
yaan kiongozi badala unakuta wakulima wanalima kwa kutumia jembe la mkono badala uwasaidie kwa kuwapa trekta et na wewe unashika jembe tena mbele ya camera .
Kwenye hyo picha nikwambie tu baada ya kuselfie na hao watoto aliendelea na mishe zake