M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wivu unawasumbua nyie Wagalatia huyo Dada ni International Celebrity ana ukwasi wa kutisha unaokaribia 295 Bilioni niambie nani wa kumkaribia hapa Bongo? Au ndo mlitaka Rose Muhhando ndo awe TOP. mmenoa!! Tunataka vijana wawe kama wewe unaetumia vipaji vyako kujitafutia pesa halali. #team_WemaFOREVER#
Njaa shujaa kiongozi bila kuandika Habari za watu mkono hauendi kinywan, hana tofauti na kina soud brown wazee wa shilawadu,Kweli kabisa huyo IMELDA amezidi kumfatafata wema, asiyekaa akafanya yake kila siku kumuandikatu kwenye magazeti, me ningekuwa wema ningemtafuta mwanasheria kama MABERE MARANDO hivi alafu nikapelekeshana na shigongo kwenye vyombo vya sheria, Lile baba kama lina laana kutwa kucha kuwaandika watu wote vibaya kwenye magazeti, angekuwa nchi za ulaya wangekuwa wameshamshoot siku nyingi shigongo...
Kweli kabisa huyo IMELDA amezidi kumfatafata wema, asiyekaa akafanya yake kila siku kumuandikatu kwenye magazeti, me ningekuwa wema ningemtafuta mwanasheria kama MABERE MARANDO hivi alafu nikapelekeshana na shigongo kwenye vyombo vya sheria, Lile baba kama lina laana kutwa kucha kuwaandika watu wote vibaya kwenye magazeti, angekuwa nchi za ulaya wangekuwa wameshamshoot siku nyingi shigongo...
Wagalatia tatizo wivu umewajaa yaani mmemuona dada anaanza kuingiza mamilioni kwenye shoo zake za maana mnaleta maneno. Go Go Go Dada Wema. Tupo pamoja kukutetea popote uendapo. #Ulipo_Tupo#
Mdini mkubwa wewe........Wivu unawasumbua nyie Wagalatia huyo Dada ni International Celebrity ana ukwasi wa kutisha unaokaribia 295 Bilioni niambie nani wa kumkaribia hapa Bongo? Au ndo mlitaka Rose Muhhando ndo awe TOP. mmenoa!! Tunataka vijana wawe kama wewe unaetumia vipaji vyako kujitafutia pesa halali. #team_WemaFOREVER#
Wema ni Global icon level ya Ban Ki Moon