PICHA: Miamba ya Upinzani yenye misimamo isiyoyumba hata nukta moja yakutana kwaajili ya mazungumzo juu ya hatma ya CHADEMA na WanaChadema

Maombi yetu ni kwa Tundu Lisu na wale wote wanaodumu katika kauli zao, watu walionyoka kwa matendo na kauli, watu wasiouza utu wao kwa kiwango chochote cha fedha.

Lazima nimtafute Lisu ili kumtia moyo, na hakuna kuondoka CHADEMA maana kuna jasho na damu yake hapo. Kuondoka ni mpaka ishindikane kabisa. Kuna wanachama wengi kuoindukia wapo CHADEMA kutokana na imani yao kwa viongozi kama Lisu na Heche.
 
Baadhi ya WanaCHADEMA wanamtukana Tundu leo hii wakati kipindi cha Magufuli wote waliufyata wakamuachia yeye peke yake akimchana hadharani.

Mpaka ilimbidi atake kumpima mkojo maana alishangaa huyu mtu mbona haniogopi kama wenzake?
 
Kama wenzako wote ni wapiga dili na waigizaji na ndio wameishika taasisi wewe utaendelea kubaki ndani ya taasisi?
 
Well.
 
kunawatu wanahisi wanaweza ziba nafasi ya LISu ,wakumbuke zitokabwe na Dr slaa nafasi zao zilizibwa kwakuwa akina LISu walikuwepo
 
Baadhi ya WanaCHADEMA wanamtukana Tundu leo hii wakati kipindi cha Magufuli wote waliufyata wakamuachia yeye peke yake akimchana hadharani.

Mpaka ilimbidi atake kumpima mkojo maana alishangaa huyu mtu mbona haniogopi kama wenzake?
Duu umenikumbusha sakata na kupimana mikojo kwa amri ya mahakama
 
Love or loathe them, Lissu na Magufuli wana misimamo kwenye wanayoyaamini. Sifa ambayo viongozi wengi wa kisasa hawana.
 
Eti Makamu Mwenyekiti Wenje Mpiga deal asiye na ushawishi wowote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…