Kichaa cha PESAAnajenga nyumba tatu zote za nini?
Hatari sanaKichaa cha PESA
Then whatKwa hio sisi tufanyeje?
Anajenga nyumba tatu zote za nini?
Kichaa cha PESA
Ilikuwa investment ya Marehemu though huenda na cloud's median itakuwa wanahisa.Kwan escape one ilikua ya marehem au , nitoe ushamba
Anajenga nyumba tatu zote za nini?
Mbona unajibu kwa swaliKama anapangisha je
Nimekuelewa mkuu ila kulikuwa na ulazima wa kuandika hayo maneno uliyoanza nayo?Duh sijui umuch know,hater,umasikini,rohombaya..........
nyumba iilivo asset,unasema zote 3 za nini,tena 3 tu?............
Nyumba ni asset nzuri sana mdogo wangu, hata wewe nakuasa uanze sasa. Zijenge hata kumi, uzeeni hutajuta...[emoji123]Anajenga nyumba tatu zote za nini?
Ahsante kaka yangu, kuna raia wamenitolea povu sio poa, wakati mimi nimeuliza tuNyumba ni asset nzuri sana mdogo wangu, hata wewe nakuasa uanze sasa. Zijenge hata kumi, uzeeni hutajuta...[emoji123]