Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Una uhakika? Nyumba sasa ni liability maana hakuna wapangaji na kila siku kuzihudumia ambapo hizo fedha zingezalisha. Experience inaonesha hata ukipangisha, mpangaji akihama gharama za kuikarabati ni zaidi ya pango zote. Aidha nyumba hata kama haikaliki kila baada ya miaka 5 ukarabati hauepukiki. Kizungumkuti kwa upande wangu, inakuwaje superstar ajenge nyumba Sawa na sie ohehae?
Una uhakika? Nyumba sasa ni liability maana hakuna wapangaji na kila siku kuzihudumia ambapo hizo fedha zingezalisha. Experience inaonesha hata ukipangisha, mpangaji akihama gharama za kuikarabati ni zaidi ya pango zote. Aidha nyumba hata kama haikaliki kila baada ya miaka 5 ukarabati hauepukiki. Kizungumkuti kwa upande wangu, inakuwaje superstar ajenge nyumba Sawa na sie ohehae?
Mkuu watakuita hater hawa!
Hujui TZ ukivunja facts mbele yao huo wanapaniki mpaka wanakuita hater!
Such a failed generation!
Nimekupata location muhimu ila kama hii ya Zamaradi ipo porini ikikamilika walinzi watatakiwa nao unawalipa. Siamini hapa JF kuna wengi ambao wanaweza kujenga (si kununua) nyumba masaki au Oysterbay ama upanga! Wengi wetu tunajenga makabe, mbagala, Mapinga, mivumoni, nk huko nyumba ya 3 bedroom ni laki 3 tu kwa bahati ya mtende kama Demiss kumpata DiamondMkuu,
Huenda tukawa na experience tofauti katika hili, nyumba ni asset ambayo return yake inachukua mda sana. Lakini hilo haliondoi ukweli kwamba unaweza ku-benefit na familia yako in the future.
Katika ujengaji wa nyumba, kuna factors nyingi ikiwemo ya location, kuna nyumba hazilipi just coz of location, zipo nyumba hazilipi coz management mbovu. Ukarabati wa nyumba ni lazima, lakini sidhani after 5yrs utatumia the same amount anayolipa mteja kukarabati nyumba.
Nikupe mfano, my friend alipanga nyumba(ipo kwenye potential location pale Kimara), it's a 3BR house, 6,000,000/- kwa mwaka. Baada ya miaka mitano ni roughly 30,000,000/- niambie ni ukarabati gani huo uta-cost 30,000,000 mkuu?
Niambie tu labda kwa conditions za uwekezaji bongo, japo sio katika real estate tu, hata areas nyingine huwezi kupata free ride.
😀😀😀 waswahili sisi tuna tabu sana daahMbona ipo maporini sana?
Kweli mkuu, tena wanalia mpaka wengine wanazimia ila baada ya mgawo tu wa mali utakuta wanajichukulia vibenten vyao kwenda kuzitumbua mali za marehemu.Wanalia sana hao ukifariki wakipewa tu mgao basi insta watamkoma
Hao mkuu hawafai kabisa, unakuta nyumba ya vyumba 2 tu wanakuuzia kwa 55M. Hela ambayo ukijenga mwenyewe unapata mjengo wa vyumba 4 wenye kila kitu ndani. Bora tujenge wenyewe tuSijui shirika la nyumba litafanya kazi gani sasa .. kama tunajenga jenga tu majumba wenyewe..
Huenda alipewa hisa za escape one kwaajili ya kuendelea kuwalea watoto wa Marehemu, by the way never underestimate the power of women😂
Kama k ingekuwa inajenga nyumba basi ardhi isingetosha....
M.b..o zote zingekuwa wapangaji tu!!
Wanawake wanaweza kufanya Mambo mengi ya maendeleo bila kutegemea hizo k..
Hakika, na wanaitumia vizuri kuchuma. Wanaweza kujilengesha kwako na kukubebea mimba baada ya hapo watakuongoza kama rimoti tu 😀😀Did you mean the power of pu$$y?!
[emoji28][emoji28] kweli kabisaK hata pussy cat anayo
Weka yako ya mjini
Anajenga nyumba tatu zote za nini?
Kuna jamaa yangu alijenga nyumba tatu tena kwa mpigo. Sema zote alizijenga KIMARA. Sasa hivi amepanga KIGOGONyumba ni asset nzuri sana mdogo wangu, hata wewe nakuasa uanze sasa. Zijenge hata kumi, uzeeni hutajuta...[emoji123]
calm downCool down
Hahaha haya chiefcalm down