stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Nimetoka hapo leo asubuhi kumsindikiza jamaa yangu,hiyo kitu kuna vi airport mbuzi vingi tu vya mikoa haifikii,hiyo ni another level,kwakweli Magufuli aheshimiwe na kuenziwa,ni kali sana,maana nilivyonogewa nikajikuta naongea kizungu mle ndani wakati hata shule yenyewe ilinipiga chenga..