Picha: Moyo wa mwanaume utabaki kuwa mgumu kama jiwe

Picha: Moyo wa mwanaume utabaki kuwa mgumu kama jiwe

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Hawa wadudu wanatuendesha kila kukicha.

Umewahi kukutana na kauli za kukera, kuvunja moyo ama kuujaza moyo hasira, kukatisha tamaa kutoka kwa mwanamke?

Baadhi ya kauli ambazo zinanikera ni ile ya "Halafu baby, nimechukua hela yangu nimesukia nywele za elfu arobaini, nimenunua lotion ya elfu ishilini. Halafu mchango wa birthday ya Mama Nurhat nimetoa 20k. Nakudai elfu themanini. Uniwaishie basi hadi kufikia kesho jioni, si unajua tena ni hela ya watu nadaiwa?

Hata kama azungumze akiwa kayalegeza vipi macho yake, nimtazamapo namuona anafanania hivi.

images.jpg

Huwa unakutana na kauli ipi kwa mwanamke inayokufanya kuwa bored? Na je, huwa unamtizama kwa mwonekano upi? Weka picha
 
Mara mia mkuu umenena. Hapa hakuna mwanamke kabisaa
 
Chochote kilicho jirani na wewe kikunyimacho amani wapaswa kukikwepa ama kwenda mbali nacho.
Na ndio maana nimeanua kufunga safari
 
Hawa wadudu wanatuendesha kila kukicha.

Umewahi kukutana na kauli za kukera, kuvunja moyo ama kuujaza moyo hasira, kukatisha tamaa kutoka kwa mwanamke?

Baadhi ya kauli ambazo zinanikera ni ile ya "Halafu baby, nimechukua hela yangu nimesukia nywele za elfu arobaini, nimenunua lotion ya elfu ishilini. Halafu mchango wa birthday ya Mama Nurhat nimetoa 20k. Nakudai elfu themanini. Uniwaishie basi hadi kufikia kesho jioni, si unajua tena ni hela ya watu nadaiwa?

Hata kama azungumze akiwa kayalegeza vipi macho yake, nimtazamapo namuona anafanania hiviView attachment 2551962

Huwa unakutana na kauli ipi kwa mwanamke inayokufanya kuwa bored? Na je, huwa unamtizama kwa mwonekano upi? Weka picha
Mim mwanaume bahili navyomuona.
Screenshot_20230228-155351_2.jpg
 
NI kweli huyo ni ng'ombe tu.
Huwa mnawaza nini kuchukua wanawake wa kuwafuga tu? [emoji1787]
[emoji23][emoji23]Ghafla tu unakuta ishakuwa hivyo. Jinsi unavyozidi kuishi naye, ndivyo anavyozidi kuonesha makucha yake

Sasa hivi nabambikiziwa madeni ambayo hata sielewi yametoka wapi. Muda mwingine moyo unakataa kurudi nyumbani. Nalala Bar
 
[emoji23][emoji23]Ghafla tu unakuta ishakuwa hivyo. Jinsi unavyozidi kuishi naye, ndivyo anavyozidi kuonesha makucha yake

Sasa hivi nabambikiziwa madeni ambayo hata sielewi yametoka wapi. Muda mwingine moyo unakataa kurudi nyumbani. Nalala Bar
Hahahahah ina maana hana kazi ya kufanya?
 
Hawa wadudu wanatuendesha kila kukicha.

Umewahi kukutana na kauli za kukera, kuvunja moyo ama kuujaza moyo hasira, kukatisha tamaa kutoka kwa mwanamke?

Baadhi ya kauli ambazo zinanikera ni ile ya "Halafu baby, nimechukua hela yangu nimesukia nywele za elfu arobaini, nimenunua lotion ya elfu ishilini. Halafu mchango wa birthday ya Mama Nurhat nimetoa 20k. Nakudai elfu themanini. Uniwaishie basi hadi kufikia kesho jioni, si unajua tena ni hela ya watu nadaiwa?

Hata kama azungumze akiwa kayalegeza vipi macho yake, nimtazamapo namuona anafanania hiviView attachment 2551962

Huwa unakutana na kauli ipi kwa mwanamke inayokufanya kuwa bored? Na je, huwa unamtizama kwa mwonekano upi? Weka picha
2764e7dffa8be66f562340e3cd70d722.jpg
 
Hahahahah ina maana hana kazi ya kufanya?
Hana kabisa. Ni mvivu kama nini. Ni yeye na ma season ya kihindi. Anaogopa miale ya jua. Aliniomba laki mbili ya mtaji nikampatia, baada ya siku tatu nakutana na status akiwa kwenye sherehe anamtunza binti wa watu, moja baada ya nyingine. Pesa zote kamalizia pale
 
Back
Top Bottom