Picha: Moyo wa mwanaume utabaki kuwa mgumu kama jiwe

Picha: Moyo wa mwanaume utabaki kuwa mgumu kama jiwe

Hawa wadudu wanatuendesha kila kukicha.

Umewahi kukutana na kauli za kukera, kuvunja moyo ama kuujaza moyo hasira, kukatisha tamaa kutoka kwa mwanamke?

Baadhi ya kauli ambazo zinanikera ni ile ya "Halafu baby, nimechukua hela yangu nimesukia nywele za elfu arobaini, nimenunua lotion ya elfu ishilini. Halafu mchango wa birthday ya Mama Nurhat nimetoa 20k. Nakudai elfu themanini. Uniwaishie basi hadi kufikia kesho jioni, si unajua tena ni hela ya watu nadaiwa?

Hata kama azungumze akiwa kayalegeza vipi macho yake, nimtazamapo namuona anafanania hiviView attachment 2551962

Huwa unakutana na kauli ipi kwa mwanamke inayokufanya kuwa bored? Na je, huwa unamtizama kwa mwonekano upi? Weka picha
Huwa ananiambia I love you my darling nakasirika sana, ananiongeleshaje makorokocho?
 
Mkeo akufulie bure, akupe mbususu bure, akupe watoto bure, akupikie bure alf bado unamuona ovyo.
Nenda kazitafute hizo mambo huko nje uone itakuaje
Huyu mwanamke anafanya vimbwanga kwa kuwa ni mke wa nje. Angekuwa ni mke mkuu ningekuwa nishatimua hiyo ng'ombe uko

Sijawahi kubambikiziwa madeni ya from no where na ma hawala huko nje. Huwa wananiomba on time. Kama sina ndio basi
 
Huyu mwanamke anafanya vimbwanga kwa kuwa ni mke wa nje. Angekuwa ni mke mkuu ningekuwa nishatimua hiyo ng'ombe uko

Sijawahi kubambikiziwa madeni ya from no where na ma hawala huko nje. Huwa wananiomba on time. Kama sina ndio basi
Hyo sawa, Lkn sio kusema mwanamke anampiga mumewe vizinga na nin, si sawa.
Hao wanawake mnaowaacha humo ndani na watoto, hata mshahara wa mwalimu mkuu bado hautaweza kumtosha kwa kazi hyo ya kukaa nyumbani na kuihudumia familia.
 
Hyo sawa, Lkn sio kusema mwanamke anampiga mumewe vizinga na nin, si sawa.
Hao wanawake mnaowaacha humo ndani na watoto, hata mshahara wa mwalimu mkuu bado hautaweza kumtosha kwa kazi hyo ya kukaa nyumbani na kuihudumia familia.
Tabia ya kusuka kila wiki nywele za gharama, mi lotion ya gharama. Kwani anataka kumvutia nani?
 
A
Tabia ya kusuka kila wiki nywele za gharama, mi lotion ya gharama. Kwani anataka kumvutia nani?
Achana na malaya unapoteza Muda na Pesa zako kudate na Malaya hiyo kumaa yake chafu ndo inakusaidia Nini ?: Yaani pesa yako unampa mtu kisa Sehemu yake chafu ya mkojo kuweni serious na Pesa saidia wahitaji na sio Malaya wa Tanzania
 
Hyo sawa, Lkn sio kusema mwanamke anampiga mumewe vizinga na nin, si sawa.
Hao wanawake mnaowaacha humo ndani na watoto, hata mshahara wa mwalimu mkuu bado hautaweza kumtosha kwa kazi hyo ya kukaa nyumbani na kuihudumia familia.
Huwa nafikiria sana majukumu ya mwanamke nyumbani.
Bado usiku, saa 4 jamaa anataka mzigo, saa 8 akienda kukojoa jamaa anataka mzigo, akigeuka tu ni mzigo. Asubuhi kabla ya kwenda job anapiga mzigo.
Mm mwenyewe nikitoka job, nikiwa nimechoka, huwa sitaki mwanamke aniguse.
Hongereni wanawake
 
Wanawake wasiojituma mm kwangu nawachukulia kenge tu. Na asilimia kubwa wanaosema tafuta pesa ni masikini wa kutupa mtu hana kipato alafu anajitutumua kusuka uchafu wa 40k wanawake mkiacha ujinga ndipo mtakapoona faida ya haki sawa
 
Hana kabisa. Ni mvivu kama nini. Ni yeye na ma season ya kihindi. Anaogopa miale ya jua. Aliniomba laki mbili ya mtaji nikampatia, baada ya siku tatu nakutana na status akiwa kwenye sherehe anamtunza binti wa watu, moja baada ya nyingine. Pesa zote kamalizia pale
nimejikuta nacheka kwa sauti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hana kabisa. Ni mvivu kama nini. Ni yeye na ma season ya kihindi. Anaogopa miale ya jua. Aliniomba laki mbili ya mtaji nikampatia, baada ya siku tatu nakutana na status akiwa kwenye sherehe anamtunza binti wa watu, moja baada ya nyingine. Pesa zote kamalizia pale
🤣😂😂 ze boss lady
 
A

Achana na malaya unapoteza Muda na Pesa zako kudate na Malaya hiyo kumaa yake chafu ndo inakusaidia Nini ?: Yaani pesa yako unampa mtu kisa Sehemu yake chafu ya mkojo kuweni serious na Pesa saidia wahitaji na sio Malaya wa Tanzania
Aisee, tusifike sehemu ya kutukana viungo vya watu. Sote ni binadamu hamna aliyebora na umetokea kwenye kiungo hichohicho, punguza boss.
 
Huwa nafikiria sana majukumu ya mwanamke nyumbani.
Bado usiku, saa 4 jamaa anataka mzigo, saa 8 akienda kukojoa jamaa anataka mzigo, akigeuka tu ni mzigo. Asubuhi kabla ya kwenda job anapiga mzigo.
Mm mwenyewe nikitoka job, nikiwa nimechoka, huwa sitaki mwanamke aniguse.
Hongereni wanawake
Asante sana mkuu
 
Ananifanyia mengi mazuri kanizalia watoto ananifulia, ananisafisha na kunishauri, ananiandalia maji ya kuoga asubuhi ananiandalia na chai napata kifungua kinywa, naagwa Kwa busu murua na sauti nzuri kazi njema Mume wangu take care of yourself, nakuta jioni watoto wametoka shuleni wamepikiwa chakula namm changu kipo mezani, nyumba yote safi, miradi yangu kama shambani na biashara zote zinasimamiwa na yeye then leo hii mwanamke asiwe na thamani nitamheshimu na kumtunza mwanamke wa maisha yangu milele[emoji16]
 
Back
Top Bottom