Mkeo akufulie bure, akupe mbususu bure, akupe watoto bure, akupikie bure alf bado unamuona ovyo.Sio sawa. Punguzeni vizinga. Hadi mume unampiga vizinga? Duh!
Huwa ananiambia I love you my darling nakasirika sana, ananiongeleshaje makorokocho?Hawa wadudu wanatuendesha kila kukicha.
Umewahi kukutana na kauli za kukera, kuvunja moyo ama kuujaza moyo hasira, kukatisha tamaa kutoka kwa mwanamke?
Baadhi ya kauli ambazo zinanikera ni ile ya "Halafu baby, nimechukua hela yangu nimesukia nywele za elfu arobaini, nimenunua lotion ya elfu ishilini. Halafu mchango wa birthday ya Mama Nurhat nimetoa 20k. Nakudai elfu themanini. Uniwaishie basi hadi kufikia kesho jioni, si unajua tena ni hela ya watu nadaiwa?
Hata kama azungumze akiwa kayalegeza vipi macho yake, nimtazamapo namuona anafanania hiviView attachment 2551962
Huwa unakutana na kauli ipi kwa mwanamke inayokufanya kuwa bored? Na je, huwa unamtizama kwa mwonekano upi? Weka picha
[emoji23][emoji23]Aisee
Huyu mwanamke anafanya vimbwanga kwa kuwa ni mke wa nje. Angekuwa ni mke mkuu ningekuwa nishatimua hiyo ng'ombe ukoMkeo akufulie bure, akupe mbususu bure, akupe watoto bure, akupikie bure alf bado unamuona ovyo.
Nenda kazitafute hizo mambo huko nje uone itakuaje
[emoji23][emoji23][emoji23]Huwa ananiambia I love you my darling nakasirika sana, ananiongeleshaje makorokocho?
Hyo sawa, Lkn sio kusema mwanamke anampiga mumewe vizinga na nin, si sawa.Huyu mwanamke anafanya vimbwanga kwa kuwa ni mke wa nje. Angekuwa ni mke mkuu ningekuwa nishatimua hiyo ng'ombe uko
Sijawahi kubambikiziwa madeni ya from no where na ma hawala huko nje. Huwa wananiomba on time. Kama sina ndio basi
Tabia ya kusuka kila wiki nywele za gharama, mi lotion ya gharama. Kwani anataka kumvutia nani?Hyo sawa, Lkn sio kusema mwanamke anampiga mumewe vizinga na nin, si sawa.
Hao wanawake mnaowaacha humo ndani na watoto, hata mshahara wa mwalimu mkuu bado hautaweza kumtosha kwa kazi hyo ya kukaa nyumbani na kuihudumia familia.
Usipende pesa dada. Pesa inaua utu. Tafuteni za kwenu.Tafuta pesa..acha gubu.
Achana na malaya unapoteza Muda na Pesa zako kudate na Malaya hiyo kumaa yake chafu ndo inakusaidia Nini ?: Yaani pesa yako unampa mtu kisa Sehemu yake chafu ya mkojo kuweni serious na Pesa saidia wahitaji na sio Malaya wa TanzaniaTabia ya kusuka kila wiki nywele za gharama, mi lotion ya gharama. Kwani anataka kumvutia nani?
Huwa nafikiria sana majukumu ya mwanamke nyumbani.Hyo sawa, Lkn sio kusema mwanamke anampiga mumewe vizinga na nin, si sawa.
Hao wanawake mnaowaacha humo ndani na watoto, hata mshahara wa mwalimu mkuu bado hautaweza kumtosha kwa kazi hyo ya kukaa nyumbani na kuihudumia familia.
Au utumboMtaan 2nawaita chura
nimejikuta nacheka kwa sauti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hana kabisa. Ni mvivu kama nini. Ni yeye na ma season ya kihindi. Anaogopa miale ya jua. Aliniomba laki mbili ya mtaji nikampatia, baada ya siku tatu nakutana na status akiwa kwenye sherehe anamtunza binti wa watu, moja baada ya nyingine. Pesa zote kamalizia pale
🤣😂😂 ze boss ladyHana kabisa. Ni mvivu kama nini. Ni yeye na ma season ya kihindi. Anaogopa miale ya jua. Aliniomba laki mbili ya mtaji nikampatia, baada ya siku tatu nakutana na status akiwa kwenye sherehe anamtunza binti wa watu, moja baada ya nyingine. Pesa zote kamalizia pale
Aisee, tusifike sehemu ya kutukana viungo vya watu. Sote ni binadamu hamna aliyebora na umetokea kwenye kiungo hichohicho, punguza boss.A
Achana na malaya unapoteza Muda na Pesa zako kudate na Malaya hiyo kumaa yake chafu ndo inakusaidia Nini ?: Yaani pesa yako unampa mtu kisa Sehemu yake chafu ya mkojo kuweni serious na Pesa saidia wahitaji na sio Malaya wa Tanzania
Asante sana mkuuHuwa nafikiria sana majukumu ya mwanamke nyumbani.
Bado usiku, saa 4 jamaa anataka mzigo, saa 8 akienda kukojoa jamaa anataka mzigo, akigeuka tu ni mzigo. Asubuhi kabla ya kwenda job anapiga mzigo.
Mm mwenyewe nikitoka job, nikiwa nimechoka, huwa sitaki mwanamke aniguse.
Hongereni wanawake
Kukuvutia ww, mwanamke ni pambo kwa nin asipendeze uliona wapi pambo limedoda limepauka.Tabia ya kusuka kila wiki nywele za gharama, mi lotion ya gharama. Kwani anataka kumvutia nani?