Maana kama kunangwa imetosha jamani imefika time apewe anacho stahili kama kuna mtu ana profile yake basi afunguliwe thread as celebrity na yeye ili YATIMIE na ikitokea kaonekana sehemu amefanya jambo lolote basi nae aanzishiwe uzi pia ameshakua seleburiti huyu,alafu leo kaandika kidhungu murua kabisa ila tunavunga hatujaona ilibidi tumpongeze kabadilika kwenye uandishi.
jidhungu mchezo? angalia neno that's why alivyoliandika, huyu pimbi anafosi umaarufu ni balaa
Mi nataka tu picha za anapoishi.
mamakibunju nakukubali sana uwa unajichimbia ila ukiibuka unakuja na vitu hoot..hii niliwahi kusikia yani alikula kichambo heavy huyu mtoto, sema tu ana moyo wa uvumilivu maana alikula maneno mazito kama ndio mie hata hiyo wasafi nahamaBREAKING NEWZ:::Nasikia juzi kati umepigwa marufuku na Boss wako Mr Platnumz kuandika Habari zinazomuhusu Madame Miss Magazeti(Wema) au kitu chochote kuhusu mahusiano yao kati ya Mr Ngololo na Miss Magazeti, Nanukuu umeambiwa ufanye kilichokupeleka wasafi Classic mambo ya mapenzi yao waachie baba na mama, Hii ni kutokana kwa Post zako ambazo ulizipost instagram Kipindi cha Nyuma .Mambo Ya BiRtHdAy Hayoooooo .
Hahhhhahhhhahhha we lichokoziii haki ya mamaaa
welcome back H.O.D
nahitaji tshirt
nyie mnaosema sijui natafuta umaarufu cjui nini,MNAKAZWA NINI??? kwa umaarufu upi unaouzungumzia...me nafanya yangu,kwa mapenz yangu,yani nkile najiskia ndio nafnya bila kujali kuna ushuzi utasema nini..we kama huwez kuweka picha zako ni tatizo lako mwenywe usifanye kuwa ni sheria ya jf
ningekuwa sina hadhi hiyo mnayoisema msinggefungua,coz mtu hawez kuwa interested na kitu ama mtu asiemfaham..unataka kufaham nini kinaendelea ma leo nimeandika nn coz me ni celeb wako..pumbafu nimemaliza ,na usije ukategemea siku moja ntastop kufanya anythng eti kisa umeongea shombo,huwa sijari maneno hta siku moja tena maneno ya uongo????!!!!!(hii ni kwa wote wanodiss ujinga,si kwa marafiki zangu waelewa)
jidhungu mchezo? angalia neno that's why alivyoliandika, huyu pimbi anafosi umaarufu ni balaa
hivi hajaenda lagos na boss wake?
nyie mnaosema sijui natafuta umaarufu cjui nini,MNAKAZWA NINI??? kwa umaarufu upi unaouzungumzia...me nafanya yangu,kwa mapenz yangu,yani nkile najiskia ndio nafnya bila kujali kuna ushuzi utasema nini..we kama huwez kuweka picha zako ni tatizo lako mwenywe usifanye kuwa ni sheria ya jf
ningekuwa sina hadhi hiyo mnayoisema msinggefungua,coz mtu hawez kuwa interested na kitu ama mtu asiemfaham..unataka kufaham nini kinaendelea ma leo nimeandika nn coz me ni celeb wako..pumbafu nimemaliza ,na usije ukategemea siku moja ntastop kufanya anythng eti kisa umeongea shombo,huwa sijari maneno hta siku moja tena maneno ya uongo????!!!!!(hii ni kwa wote wanodiss ujinga,si kwa marafiki zangu waelewa)
Umeonaa tumpe pongezii jamanii lol
na ukiona mtu anasema vibaya kuhusu wewe,jua anakukubali na kakuona upo zaidi yake hna tu cha kukufanya anaishia kuwa hater na kukusema vibaya