Ukiskia mtu kaoa ndio huyu jamaa sasa
Mr. Kok Alat amelipa MAHARI hiyo kwa baba mzazi wa binti Huyo ambaye ni bikra kutoka Dinka kijiji cha Awiel jimbo la South Eastern nchini Sudan Kusini kutokana na historia ya utamaduni wao, heshima, ukarimu, unyenyekevu, na utu walionao.
huyo dada ana urembo gani? mbona sura kama haisomeki hivi hata kwa jokate hafikiUnaona wanafanana huyo mrembo?
Wazazi wamekosea bora wangemtoa kwa mahari ya kawaida hata mimi ningeenda kumchukuaKichaa cha kiumbe binadamu kwa kisingizio cha mila na desturi ... Thamani ya UTU inapopimwa kwa vipande vya fedha
huyo dada ana urembo gani? mbona sura kama haisomeki hivi hata kwa jokate hafiki
😆😆😆 wanaume wa DarSiwezi kufanya huu ujinga...
Kiukweli, mtoto Organic kabisa yani ana kiarufu cha mbao safi kabisa!Huyu amepata mke siyo hawa unakuta bikra zilitolewa kwa chips kavu
Utoe mbuzi unaye? Huyo bata ndio uwezo wako ulipoishia kwenye kutoa na ndio maana ukafikiri hivyo.Mi hata mbuzi nisingetoa, labda bata hapo fresh
Sawa umesikika tajiriUtoe mbuzi unaye? Huyo bata ndio uwezo wako ulipoishia kwenye kutoa na ndio maana ukafikiri hivyo.
Sawa umesikika tajiri
Hivi jamani mahali ya haki kabisa inatakiwa shilingi ngapi ?Hi story ni kweli...Sio kila habari ni chai.
Soma hapa.
Meet Nyalong Ngong Deng Jalang whose dowry is 500 cows and 3 V8 cars. | Wiki9ja
Wacha dhalau dogo.yani gharama yote hiyo ni bikira tu au kuna jambo jengine,mbona mi nimevibikiri vibinti karibu vinne na ni virembo hasa nina mpango wa kukaoa kamoja na mahari haitazidi 1m
Wacha dhalau dogo.
sio dharau ,nimeshangaa tu nini cha ziada kwa huyo demu maana sura ya kawaida sana,shepu ya kawaida ,au huko kuna uhaba wa mademuWacha dhalau dogo.
hahaaSiyo kwetu unakuta bikira zote mbele nyuma hakuna alafu ukienda kuulizia posa utasikia mahari milion3.5 pumbavuu wakati aliyetoa bikira alitoa chip's kavu na mishikaki iliyolala
hahaaAiseee!! Uchawi upo...
hahaa mtoa mada anazingua Aiseeyaani mi nitoe mali zote izo ili.nioe mkuki huuu mtoa mada ebu kuwa sirius kidogo bwan