Maisha yenyewe mafupi .... Afrika tunapigwa vita kila mahali ..... na haya mabiological weapon bado utoe ng'ombe 520 kwa huyu??? Hapana [emoji23][emoji23][emoji23]Niombe radhi tu siwezi kuweka ndani hiyo kitu..
NimeZOOM picha yake nimeona yuko kama morani wa kimasai.Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba.
Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba 25, wanaume sita tayari walikuwa wameitembelea familia ya Nyalong Ngong Deng wakitoa ahadi za posa; mmoja wa wanaume hao anaongoza kwa kuwa tayari kutoa ng’ombe 520 naa magari matatu aiana ya Toyata V8.
Miongoni mwa wanaume wanaotafuta kumuoa msichana huyo ni aliyekuwa kamishna wa Awerial na Naibu Gavana wa Sasa wa Jimbo la Lakes State Mashariki. Kok Alat anaongoza katika kumtaka binti huyo hazikuwashtua wanaomfahamu kwa utajiri wake mkubwa katika mataifa ya Afrika Mashariki.
Ripoti zinasema kuwa, wanaume wengine zaidi wamejitokeza wakiwa tayari kuchomoa posa kwa ajili ya kumnyakua Nyalong.
Wanaume sita tayari wameonyesha utayari wao wa kuondoka naye.
Katika jamii ya Yirol, mwanamume yeyote anayetaka kuoa ni sharti kuwashawishi vilivyo wazazi wa msichana kabla ya kuruhusiwa,
Familia huwatathmini wanaume kadhaa kabla ya kuweka uwanja wazi kwa walioteuliwa kumposa msichana huyo
Kwa sasa, bado pambano linaendelea na mshindi akipatikana, bila shaka tutawaarifu.
View attachment 912021View attachment 912022
Ndo hapo sasa...wanaume sijui tuwaelewajenyie si mnapenda fake?
akina Wema na Mobeto.
vile vile kusifia sio kuwa ningeweza kumweka ndani hapana kabisa
hata mm nashangaa wajameniMaisha yenyewe mafupi .... Afrika tunapigwa vita kila mahali ..... na haya mabiological weapon bado utoe ng'ombe 520 kwa huyu??? Hapana [emoji23][emoji23][emoji23]
kabisa Mkuu.Hahahaaa mkuu dunia ina mamba
Itakua nyama yake tamu labda Mkuu 😀😀😀😀 !!Hahahaaa iseee huyo mwanamke mwenyewe mbona mbaya mbaya tu
Mkuu ata kapicha ka uyo mrembo a.k.a ngwimba basi......Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba.
Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba 25, wanaume sita tayari walikuwa wameitembelea familia ya Nyalong Ngong Deng wakitoa ahadi za posa; mmoja wa wanaume hao anaongoza kwa kuwa tayari kutoa ng’ombe 520 naa magari matatu aiana ya Toyata V8.
Miongoni mwa wanaume wanaotafuta kumuoa msichana huyo ni aliyekuwa kamishna wa Awerial na Naibu Gavana wa Sasa wa Jimbo la Lakes State Mashariki. Kok Alat anaongoza katika kumtaka binti huyo hazikuwashtua wanaomfahamu kwa utajiri wake mkubwa katika mataifa ya Afrika Mashariki.
Ripoti zinasema kuwa, wanaume wengine zaidi wamejitokeza wakiwa tayari kuchomoa posa kwa ajili ya kumnyakua Nyalong.
Wanaume sita tayari wameonyesha utayari wao wa kuondoka naye.
Katika jamii ya Yirol, mwanamume yeyote anayetaka kuoa ni sharti kuwashawishi vilivyo wazazi wa msichana kabla ya kuruhusiwa,
Familia huwatathmini wanaume kadhaa kabla ya kuweka uwanja wazi kwa walioteuliwa kumposa msichana huyo
Kwa sasa, bado pambano linaendelea na mshindi akipatikana, bila shaka tutawaarifu.
View attachment 912021View attachment 912022
Kwani wanawake wote wakiacha vitu fake wakawa asilia ndiyo itamaanisha kwamba wote ni warembo Sana?Ndo hapo sasa...wanaume sijui tuwaelewaje
Shikamoo ulozi... Tena kutoka Msata Tanzania coastal region... Mvuto now loading 100%Urembo wa binti huyo wa miaka 17 kutoka Awerial lililokuwa likiitwa Lake State Sudan Kusini umewashangaza wengi na hata matajiri wamejitokeza kuomba uchumba.
Kufikia mwisho wa Alhamisi, Oktoba 25, wanaume sita tayari walikuwa wameitembelea familia ya Nyalong Ngong Deng wakitoa ahadi za posa; mmoja wa wanaume hao anaongoza kwa kuwa tayari kutoa ng’ombe 520 naa magari matatu aiana ya Toyata V8.
Miongoni mwa wanaume wanaotafuta kumuoa msichana huyo ni aliyekuwa kamishna wa Awerial na Naibu Gavana wa Sasa wa Jimbo la Lakes State Mashariki. Kok Alat anaongoza katika kumtaka binti huyo hazikuwashtua wanaomfahamu kwa utajiri wake mkubwa katika mataifa ya Afrika Mashariki.
Ripoti zinasema kuwa, wanaume wengine zaidi wamejitokeza wakiwa tayari kuchomoa posa kwa ajili ya kumnyakua Nyalong.
Wanaume sita tayari wameonyesha utayari wao wa kuondoka naye.
Katika jamii ya Yirol, mwanamume yeyote anayetaka kuoa ni sharti kuwashawishi vilivyo wazazi wa msichana kabla ya kuruhusiwa,
Familia huwatathmini wanaume kadhaa kabla ya kuweka uwanja wazi kwa walioteuliwa kumposa msichana huyo
Kwa sasa, bado pambano linaendelea na mshindi akipatikana, bila shaka tutawaarifu.
View attachment 912021View attachment 912022
.Black is beauty
Hapo sasa.Alafu wanaume humu mtasema huyo dada mbaya wakt natural..alafu wavaa mawigi na rangi nyeupe mnawasema kumbe mnawakubal kimoyomoyo