Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Ni mzuri sana tu.. mrefu,na yuko darl skin pia mguu anao.na unamkuta bikra huyo..
Shida ya watz mmezoea wanawake fekii vogodoro,ngozi imetumia malotion na macream means mkorogo wa kitambaa na pia uso bila foundation au powder au make up au marangi rangi ktk macho huko juu au kope ya bandiaa. Au nywele za wachina Brazilian au kasuka.. mnaona huyo sio mrembo.. mtapata tabu sana.. huyo yuko cuteeeeeeee na natural kila kitu na bikra huyo msifikiri hilo dau katumika hhehehehee mpya huyo..
 
Huyu ni "kigori" hasa, kipusa wa nguvu, huyu ni "mwali" hasa, nikisema ni mwali, maana yake hajaguswa bado na mwanaume yeyote. Huyu mtoto ni "mzuri" sana, isipokuwa tu hawa watu wa Sudan huwa wanawakeketa hawa watoto.
Hapoo kwenye kuwakata ndo wanaharibu
 
Hivi yule wa mahari ya mil 500 mnamuona huko mtaani kwenu? Au alivyokanwa na kibenten redioni Akafwa?!
 
J
Kwaiyo anayekidhi vigezo kwako ni yupi
 
Mbona mimi nawaona wanaume wawili wamesimama" Ina maana mnautani na hao jamaa wa kwenye picture au''' Wanaume mnawaita waterborne !! You can't be serious niga
 
Umaskini wa fikra bado kabisa ndio safari inaanza. There is nothing to be proud of when it comes to mahari. Hapo mwanamke ananyimwa haki yake ya kupenda, kwa kuwa exchanged na mali. Shame!
 
Ha ha hata kilo moja ya nyama ya ng’ombe sitoi
 
Kwa hiyo wanapiga mnada bidhaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…