Picha: Msaada tatizo sehemu za siri

Picha: Msaada tatizo sehemu za siri

Ukihitaji msaada na umeweka picha kama hivi madaktari walio JF ni rahisi kujua hata wakakupa ABC kuliko ungeandika kwa maneno tuu, sijaona kama umekosea as long as umeweka kwenye jukwaa sahihi la afya. Ushauri wangu nenda hospitali ukachunguzwe na mtaalamu humu wapo madokta ila utakutana na wasio madokta wenye stress kwanza wakutukane wewe.
Nikweli kabisa, Ahsante sana kwa mawazo positive. Ubarikiwe
 
Umeukwaa hiyo ni kaswende ila itapona kwa antibiotics ningekutajia ila nenda hospitali ukaaibike kwanza alafu kesho utajua umuhimu wa condoms. Na usije ukajidanganya kuingia google ukachukua dawa ukameza kaswende ina stages hiyo ni stage one ukibugi ikakauka inaenda stage 2 ambapo unatokewa na vipele mwili mzima na stage ya tatu inaathiri figo mpka ubongo. Fanya hima nenda hospitali na ujiandae kubaki na kovu kwa muda wa zaidi ya wiki mbili. Condom zipo mpka kwenye vijiwe vya boda ww kimekushinda nn kutumia kinga hata kama zile za serikali(zana) zinasumbua kuna wengine zinawapa aleji ila kitu cha kukulinda unashindwaje kutumia.

Jiulize kama kaswende umepata je ukimwi ungekukosa ww.

😎😎😎USIONE SOO SEMA NAYE KUHUSU KUSUBIRI KUWA MWAMINIFU AU KUTUMIA CONDOM.😎😎😎
 
Umeukwaa hiyo ni kaswende ila itapona kwa antibiotics ningekutajia ila nenda hospitali ukaaibike kwanza alafu kesho utajua umuhimu wa condoms. Na usije ukajidanganya kuingia google ukachukua dawa ukameza kaswende ina stages hiyo ni stage one ukibugi ikakauka inaenda stage 2 ambapo unatokewa na vipele mwili mzima na stage ya tatu inaathiri figo mpka ubongo. Fanya hima nenda hospitali na ujiandae kubaki na kovu kwa muda wa zaidi ya wiki mbili. Condom zipo mpka kwenye vijiwe vya boda ww kimekushinda nn kutumia kinga hata kama zile za serikali(zana) zinasumbua kuna wengine zinawapa aleji ila kitu cha kukulinda unashindwaje kutumia.

Jiulize kama kaswende umepata je ukimwi ungekukosa ww.

[emoji41][emoji41][emoji41]USIONE SOO SEMA NAYE KUHUSU KUSUBIRI KUWA MWAMINIFU AU KUTUMIA CONDOM.[emoji41][emoji41][emoji41]
Nimekuelewa, ntaufanyia kazi ushauri wako. Sometimes, we learn the hard way!
Ahsante, brother
 
Na asikutishe mtu eti hajapenda ulivyopost kuna mambo hayaelezeki bila picha na unaeumwa ni ww ukipata madhara zaidi yeye hayupo ww pambania tiba yako usisikilize maneno ya kila mtu mwingine hakujui na atafurahia ukiteseka. Pole sana nanuwe makini usiamini mtu kwa kumtazama
Nimekuelewa, ntaufanyia kazi ushauri wako. Sometimes, we learn the hard way!
Ahsante, brother
 
Back
Top Bottom